Alikuja au Chadema ndio ilimfuata " ikajibinafsisha" kwake!Kwani kabla hajaja lowasa cdm haikuwapo!!
Yule bado kijana anaweza kukipigania chama sio huyo kamanda wenu wa mabadilikoIla katambi mnamtaka?hahah
Bila kumsahau kubeneaNa wakati huohuo chini ya mwenyekiti wenu plus polepole walimchafua.
Bila kumsahau kubeneaNa wakati huohuo chini ya mwenyekiti wenu plus polepole walimchafua.
Wamfukuze kwa kosa la kumsifia raisi aliyepo madarakani? Katiba ya chadema inazuia mwanachama kumsifia/kumtembelea raisi aliye madarakani?Lowassa ni dosari kubwa ndani ya Chadema anapaswa kurudi ccm kwani ndio sehemu inayomfaa. Kitendo alichokifanya ni fursa nzuri kwa chadema kumtimua.
Chadema hawatapata sababu nyingine ya kumtimua bali wanapaswa kutumia mwanya huu. Atarudi hukohuko alikotoka na uzuri wa ccm wataanza kumsafisha
hahaha wapenda mabadiliko ndio hawa ambao hawajapendezwa na kitendo cha mh Lowassa kwenda ikulu sasa iweje waende nae tena mkuu???Ni kama vile wapenda mabadiliko wataondoka na Lowassa!
Hongera! Wachache watakaokuelewa!Lowassa pekee hatoshi, Mbowe inabidi ajitathmini yeye kama mwenyekiti na katibu wake Mashinji. Haiwezekani eti chama kikuu cha upinzani kinapoteza wabunge na madiwani eti kwa kununuliwa na CCM, inamaana hata tukiwapa nchi mawaziri wao wanaweza kununuliwa. Inamaana wao hawana namna ya kupambana na hizo rushwa za CCM ?
Mnasusia uchaguzi, halafu baada ya hapo nini kinafuata ?
Toka jamaa alisema hajaribiwi mmeufyata kabisa, kutoa matamko na kurudi pangoni hakuonyeshi ukubwa wa tatizo mnalotaka kutuaminisha lipo kutoka utawala huu.
Kama uhuru na demokrasia ni muhimu ni lazima ipiganiwe, nyie ndio viongozi sasa tupeni hamasa ya kupigania huo Uhuru.
Kupambana na CCM ya sasa kunahitaji mtu mwenye uthubutu, labda Mbowe aliweza kupambana na awamu ya Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania, ila hii ya kazi tu ni mchezo mwingine kabisa !
Mkuu kundi la Mbowe ndio wasiopenda mabadiliko wao watabakia na mzee Robert hapo Ufipa!hahaha wapenda mabadiliko ndio hawa ambao hawajapendezwa na kitendo cha mh Lowassa kwenda ikulu sasa iweje waende nae tena mkuu???
Pesa zake alizonunua chama mtarejesha?, mnatafuta adui mwingine? mziki wake mtauweza?Asisubiriwe anogewe na midundo akiwa CHADEMA!
Kwani ilianza chadema au Lowassa ??Petro E. Mselewa Wewe unadhani akishaondoka Lowassa kuna Chadema tena hapo?!!!!
Lowassa Lazima aondoke......Ili chadema ibaki salama Lowassa anatakiwa abaki Bila hivyo NCCR MAGEUNZI ya 1995 imefika. Ila mbowe akitoka myumbo wake si mkubwa.
Lowassa kwa sasa anamizizi mkubwa sana huko si WA kumchezea kama ZZK alivyotolewa.
Nani anipe cheo Mkuu? CCM au CHADEMA?
Subiri aondoke ndio utajua kati ya kuku na yai nini kilianza!Kwani ilianza chadema au Lowassa ??
Jifunze kupokea mawazo hasi mbona unajua kutengeneza counter affidavit unashindwa kusubiri walau siku moja usikie lowassa atasema wamezungumza nini na Magufuli?Katika kumsaidia Lowassa kusema na kutenda kwa uhuru na amani, CHADEMA 'imrejeshe' CCM ili akaungane na 'wenzake' wanaoyaona mema ya Rais Magufuli.Apewe uhuru wake haraka iwezekanavyo kwakuwa alipo si mahala sahihi. Aende akashauri, akasifu na kutoa suluhisho kwa mambo mbalimbali. Asisubiriwe anogewe na midundo akiwa CHADEMA!