Lowassa asisubiriwe anogewe na midundo, arejeshwe alipotoka!

Lowassa asisubiriwe anogewe na midundo, arejeshwe alipotoka!

Baada ya kusikiliza hotuba fupi yake akimpongeza JPM kwa kazi nzuli anayoifanya na kuunga mkono serikali ya awamu ya tano

Licha ya kumsikia mara kadhaa ya kwamba atagombea uraisi 2020 ni dhahiri ya kwamba lowassa ameshspoteza sifa ya kuwa mgombea wa uraisi kupitia upinzani maana 2020 utagombea sera gani maana ushampongeza mpinzani wako kwa anayofanya.

Sasa tukubali tukatae huyu lowassa hana la kuzungumzia.

Naishia hapa kama kuna swali uliza utajibiwa
 
Mbona huyu waziri wangu mkuu mstaafu kila anayejua kusoma na kuandika tu humu jf anamsemea as if mmetumwa kumvuruga na reward mliyoahidiwa itawatosha kula maisha yenu yote. Haiwezekani usiwe ni mpango mkakati wa kumvuruga!
Na mmegawanywa katika vikundi vidogovidogo ambavyo vimewagawana baadhi ya viongozi wa cdm kwa lengo la kiwachafua na kuwachonganisha na wapiga kura wao. Ukiwasoma wanachopost humu kinabainisha mkakati maalumu ambao ama una zawadi nono sana kwa atakayefanikisha kuwafanya wajiuzulu au warejee ccm. Waacheni wafanye siasa zao cdm na ninyi hangaikeni kutekeleza sera zenu za ujenzi wa viwanda!
 
Back
Top Bottom