Lowassa asisubiriwe anogewe na midundo, arejeshwe alipotoka!

Lowassa asisubiriwe anogewe na midundo, arejeshwe alipotoka!

Kiunkweli mamvi kazingua...daah nimejikia vbaya sana
74096ea53aa881ecdb01055b9943b134.jpg
 
Petro E. Mselewa Kumpongeza kwake hakuondoi ukweli kuwa watanzania hatuitaki ccm Na tutaendelea kuikataa hata kama aondoke mbowe sisi tunaichukia kutokana Na madhira waliyotufanyia
 
Mahaba ya CCM yako juu zaidi kuliko kitu kingine chochote. Wewe ni mpinzani wa CCM tunakujua, wewe unajifanya mwanasheria msomi huku unashabikia utumbo wa mbow na genge lake la wezi na mafisadi
Mkuu Mudawote,
Hapo awali nilishasema mara kadhaa ya kwamba huyu mleta mada ni mzandiki na mnafiki kupita maelezo. Leo hii anaanza kujitoa uvunguni (UHUNI) na kuja upenuni.
Time Will Tell.
 
Wewe unadhani akishaondoka Lowassa kuna Chadema tena hapo?!!!!
Hivi ndo kusema nimezeeka sana hata sikumbuki vizuri!!??[emoji15] [emoji15] Mnikumbushe wajameni: Kama Chadema haiwezi kuwepo bila Lowasa, hivi Lowasa alijiungaje na Chadema kama Chadema haikuwepo kabla ya yeye kujiunga nayo??
 
Hahahahahaha...Just Hahahaha.
Hiyo nukuu ya Mzee Lowassa kwenye picha wangeiandika kwa Tafsiri ya kiingereza ingependeza zaidi pia. Ili Yule bwana mgonjwa wa Ubeligiji naye apate kuisoma vyema.
 
Lowassa ni dosari kubwa ndani ya Chadema anapaswa kurudi ccm kwani ndio sehemu inayomfaa. Kitendo alichokifanya ni fursa nzuri kwa chadema kumtimua.

Chadema hawatapata sababu nyingine ya kumtimua bali wanapaswa kutumia mwanya huu. Atarudi hukohuko alikotoka na uzuri wa ccm wataanza kumsafisha
CCM iliwahi kumsafisha Lowassa? CCM imefanya maovu mengi tena ya kukera mno lakini kati ya hayo si kumsafisha Lowassa.

Huu upuuzi ulifanywa na CHADEMA. Watu wachache wenye akili timamu tulipinga sana na wengine tuliacha kukishabikia CHADEMA.

Slaa akajivua ukatibu na kuondoka zake nje.
 
Tatizo ni pale mtu anaona hakuna tatizo wakati tatizo linamtokea CHADEMA wanaona hakuna tatizo kazi ni kujibu kwa majibu mepesi
 
Hahaa .. kama alivyopokelewa na Mwenyekiti wetu Mbowe ile 2015 hadi Lisau akaufyata, Lema na Msigwa wakafuta kauli zao za kuzomea na kupimwa akili respectively.


Na hakika akiondoka Mh.Mnyika atapumua.
Akibaki basi iko siku Mnyika ataondoka.
 
Back
Top Bottom