Lowassa asisubiriwe anogewe na midundo, arejeshwe alipotoka!

Lowassa asisubiriwe anogewe na midundo, arejeshwe alipotoka!

Waliokuwa wanadeki barabara waje watoe ufafanuzi, na kama akihama je, watahama nae?


upload_2018-1-10_22-43-41-jpeg.672370
 

Attachments

  • upload_2018-1-10_22-43-41.jpeg
    upload_2018-1-10_22-43-41.jpeg
    25.9 KB · Views: 49
Naunga mkono hoja
Tulimtumia 2015 kutafuta mtaji wa kura ila ukweli tulipoteza hoja za msingi kuhusu rushwa.
2020 hawezi na hana mtaji.
Kabla kusababisha damage...afukuzwe kwa kitendo chake cha kwenda ikulu bila ushauriano.
Kwa sasa huyu mi mzigo. Bora kuutua na kuuachia urudi nyumbani.
Sababu imepatijana
 
CCM Mungu anawaona!!! Tubuni dhambi hizi.
 
Mahaba ya CCM yako juu zaidi kuliko kitu kingine chochote. Wewe ni mpinzani wa CCM tunakujua, wewe unajifanya mwanasheria msomi huku unashabikia utumbo wa mbow na genge lake la wezi na mafisadi
Na CHADEMA nao wanasema kuwa mimi ni CCM damu. Mnasikitisha sana!
 
Mahaba ya CCM yako juu zaidi kuliko kitu kingine chochote. Wewe ni mpinzani wa CCM tunakujua, wewe unajifanya mwanasheria msomi huku unashabikia utumbo wa mbow na genge lake la wezi na mafisadi
Kama wewe umezoea kujifanya, si wote. Mimi ni Mwanasheria na Wakili kweli. Si maigizo kama yako.
 
Uyu si kurejeshwa tu ccm no! ila afukuzwe kabisa kwenye siasa maana ni mtu hataru aliyepo kwa maslahi yake binafsi na si kwa maslahi ya watu.ni muhuni ka wahuni wengine tu uyu.
 
Kama wewe umezoea kujifanya, si wote. Mimi ni Mwanasheria na Wakili kweli. Si maigizo kama yako.
Hahaha, ninyi wanasheria mmekuwa chanzo cha kujifanya kuipinga serikali kupitia huyo mwenda wazimu wenu lis. Eti mnajiita mawakili wasomi. Yaani mnajifanya ninyi ni zaidi ya serikali. Kwa ufupi ukiwa wakili kwa sehemu kubwa ni wapinzani, na tunawachukia kweli kweli maana mnapindisha ukweli. Mfanio ni huyo rais wenu mwizi na mnafiki lis, anapewa hela na wazungu ili aichafue serikali
 
Hahaha, ninyi wanasheria mmekuwa chanzo cha kujifanya kuipinga serikali kupitia huyo mwenda wazimu wenu lis. Eti mnajiita mawakili wasomi. Yaani mnajifanya ninyi ni zaidi ya serikali. Kwa ufupi ukiwa wakili kwa sehemu kubwa ni wapinzani, na tunawachukia kweli kweli maana mnapindisha ukweli. Mfanio ni huyo rais wenu mwizi na mnafiki lis, anapewa hela na wazungu ili aichafue serikali
Haya Mkuu, pumzika na usisahau dozi yako. Siku njema!
 
Wewe unadhani akishaondoka Lowassa kuna Chadema tena hapo?!!!!
Halafu hakuna mwenye ubavu wa kumuondoa hapo chadema. Mbowe akithubutu yatatokea makubwa kwenye chadema zaidi ya yaliyotokea CUF kati ya Seif na Lipumba. Ndani ya chadema over 80% ya wanachama ni pro Lowasa. Chadema itameguka vipande viwili:

1. Kipande kimoja kikubwa chenye siasa ya upinzani wenye ustaarabu unaozingatia sheria na kanuni za nchi. Hiki kitachukua zaidi ya 80% ya wanachama na kitamchagua Lowassa kuwa Mwenyekiti wa chama. Msajili wa vyama vya siasa atabariki matokeo ya uchaguzi huo na mamlaka zote za kisheria zitautambua.

2. Kipande cha pili kidogo cha nyumbu chenye siasa za uanaharakati wa kutafuta uhuru wa nchi ili hali uhuru huo upo tangia 1961. Kikundi hiki asilimia kubwa ya watu wake wako humu JF wakiporomosha matusi wanayoyaita nondo dhidi ya serikali, rais wa nchi na ye yote yule anayeonekana kuunga mkono jitihada za rais na serikali za kuleta maendeleo. Mwenyekiti wa kikundi hiki atakuwa ni Mbowe na hakitatambuliwa na msajili wa vyama vya siasa na mamlaka zote za serikali. Mwanasheria wake (Lissu) atahangaika fruitlessly mahakamani na kwenye jumuiya za kimataifa kutafuta legitimacy ya kikundi hiki kama ambavyo wanasheria wa Maalimu Seif wanavyofanya.

Huo ndiyo utakuwa mwisho wa kikundi hiki cha nyumbu wanaoharibu chama. Chadema itabaki chadema safi inayoongozwa na EL, chadema isiyokuwa na uchochezi wa kuvuruga amani ya nchi, chadema yenye kuvutia watanzania kuichagua kushika dola badala ya chadema hii ya sasa inayochochea watanzania wamwage damu.
 
Back
Top Bottom