Lowassa ashauriwa asigombee urais



hivi taarifa za wagonjwa huwa zinatolewa hovyo hovyo hivi !!!!?.
 
Dah nikicheki "avatar" na kurudia kuyasoma maneno matatu ya kwanza, najikuta natabasamu!
By the way, nice observation from what has been posted...

Condoms at work. Ni aibu sana kutumiwa.
 
Mbona Kikwete ana kifafa lakini amekuwa rais kwa miaka kumi?
Tofautisha damu na maji endelea kumpa moyo Lowassa ni sawa kuijazia maiti damu ili ifufuke wakati haiwezekani
 

Mbona Dr Slaa mkono wake anashindwa hata kubeba toothpick lakini bado anang'anga'nia uongozi.
 
mimi kama gogo la shamba nilishasema baada ya hila zote kukwama kwa Luwasa mwisho wake tutaambiwa Luwasa ni mkenya
 
Kuna watu wako tayari Mh. Lowasa aitawe Tz hata akiwa kitandani.
Mmmh! I reserve my vote mpaka nishawshiwe kwa sera, hizi ngonjera za humu ni ngumu kujua nani mkweli nani muongo!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums


SERA au AFYA?

Kam ni SERA mbona misimamo yake inajulikana kuwa ni ELIMU KWANZA. na pia amekuwa akisistiza Serekali kuanzisha viwanda kama jibu la Ajira.
 
magamba yanagombana yenyewe kwa yenyewe kwa sababu ya makundi
 
Mimi siamini na sitokaa kuamini uzushiuzushi wa watu wanaoendekeza njaa, hivi jaman km mtu mlishamzushia mkamaliza kila style ya kuzusha, ikashindikana kutufanya tuamin au kutufunja moyo juu ya kile tulichona matumaini nacho,uzuri watz siku hizi tumekua waelewa sio km kile kipindi cha 2008, mlikua mnatujaza ujinga sasa tunafaham wenyewe tunamhitaji nan na atatusaidia wapi, tatizo vijana mmekosa uzalendo kwa njaa ya siku moja, ok leo umetumia talent yako kumtukana mtu anayeaminiwa na wengi na ukoo wako mzima kule kijijin...usijifikirie ww leo fikiria hatma yako itakuaje....huyu kachero mbobezi watz hatumtaki kwann anaendelea na katabia kake ka uchonganishi?
 

JEMBE ktk kutoa na kupokea rushwa kubwa a.k.a ufisadi.
 
penye nia pana njia inaonekana mnamuwaza sana rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe Edward Ngoyai Lowassa
 
Dah,watu wanakiogopa kivuli cha Lowasa! Yes its true alikataliwa na Nyerere (so was Kikwe). Who doesn't know Lowasa was the 'steam' behind Kikwe's First Term Government? He left and the government went to the 'spineless' cowards who use Police against their own people!
Now Lowasa is about to come back, jipangeni! Na mtachonga sana!
 
Nyie watu wa WAMA acheni kuweweseka sana huyu mzee amewafanya nn mbona mnamtaja sana au ndo kuweweseka....Lowassa ndo mpango mzima 2015 mnaendelea kumuongezea point pasipo kujua
 
Nyie jifanyeni tu lowasa lowasa afu wakati huo mnaihitaji kuboreshwa kwa shule za umma na hospitali iko hivi lowasa kafungamana sana na wafanyabiashara na hii ni hatari we fikilia hizi pesa zote wanazozitoa kwenye maharambee hao washirika hao unafikiri wanazitoa bule wana mashule hapo mahospitali mengi na wanahitaji misamaha ya kodi vilevile sasa endapo lowasa atapita haya muyaone yakawaida kutoboleshwa kwa miundombinu ya umma serikali haitakua na fedha za kutosha coz kampuni nyingi zitakua zimesamehewa kodi kulipa fadhila halafu kama atabolesha shule na mahospitali ya serikali je shule na hospitali za wamwaga fedha kwa harambee asome nan?.......
 

Wewe ndio unajua raisi ajaye acheni membe aitwe membe jamani

KACHERO MUBOBEZI MWANADIPLOMASIA MTATA NA RAFIKI WA WASOMI MTAELEWA TUU
 
Daa Siamini kama Tanzania hii kuna mijitu inatumika kiasi hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…