Mkuu umeua bendiwe ndo upumzike mzee bado beby
Mzee ndo mgombea wa Ukawa 2020Lowasa aachane na siasa zimemkataa
Ni mgombea wa kudumu wa ukawaMzee ndo mgombea wa Ukawa 2020
2020 EL ataambulia 9%Ni mgombea wa kudumu wa ukawa
2020 EL ataambulia 99%
Wachache sana, vijijini wanahitaji mikutano ya hadhara, hata mijini ujumbe wa mitandao hauwezi kuleta impact kwa semi- illiteratesWangapi, hasa wapiga kura wanasoma mitandao?
mrija wa buku 7 saba umekata nini mbona povu hivyoBavichaaa wanahaha kutafuta mbinu za kumfanya Lowasa aanze kuwachangia tena baada ya ukata kuwakumba..
Lkn EDO alishawashitukia , mlimdanganya sana kwamba anakubalika na mna kura million 10, mkamtengenezea hadi picha za mafuriko feki ili kuyaponda mabilioni yake .!;
Lkn sasa Mzee amewagunndua nyinyi majizi ,EDO hatawapa hela tena, tafuteni kazi halali za kufanya ili mpate hela na siyo kushinda kwenye mitandao ya kijamii kujipendekeza kwa mwanaume mwenzenu !!!
Ckweli ameingia tayari cdm imeshakuwa imara na tarifa tu wangepata wabunge wengi zaidi hata kuchukua dola.kitendo cha kubadili gia angani kilisononosha wengi nawengi walikata tamaa wakashndwa kuelewa tofouti kati ya ccm na cdmMzee kawasaidia kuongeza wabunge na kuichachafya CCM halafu leo mnaibuka na kusema kaja kuua upinzani? Akyanani hii sasa haivumiliki, ngoja mzee apachimbe