kwani tatizo ni nini?
Weunavyojua unatakiwa kuwa wapi?saluti ipigwapo MKONO usiopiga saluti unatakiwa Uwe wapi?...... nauliza
Hao ni askari wenye vyeoTuwasifie wanaogundua ma solar panels kutuondolea kero za maisha sio wanaosalimiwa Kenya!!! What the heck!!kwanza cheo chahao askar inaonekana Ni chachini na pengine walitarajia ka tip kidogo.
Hilo ni suala lake binafsiBasi ahamie Kenya. Au?
Mfano wao haufananii!So wats big deal?hv nyie vijana wa ufipa mna nn kwny bongo!sitoshangaa siku mtaweka picha lowasa akiveshwa viatu na mama regina mkasema anaheshimiwa na akina mama wa tz khaaa aisee
Wa kampuni gani?Hata kijana wangu wa getini kutoka moja ya kampuni za ulinzi alikuwa ananipigia saluti ninapoingia....ila nikamwambia aache...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]So wats big deal?hv nyie vijana wa ufipa mna nn kwny bongo!sitoshangaa siku mtaweka picha lowasa akiveshwa viatu na mama regina mkasema anaheshimiwa na akina mama wa tz khaaa aisee
Unajifunza ninihapo?Mnashangaa nini? Kama Raila Odinga alipigiwa salute kule Chato/Tanzania kwanini Lowassa asialikwe naye akapigiwa salute huko Kenya? jPM=Raila? Na Kenyatta=Lowasa? Mpaka hapo mchezo haujaisha?
Kwani huyo askari ndo anawakilisha wakenya wote?? Alafu cheo cha uwaziri "mstaafu" kama sie aliyeng'atuliwa kimefutika??Anakubalika
Pia wanamkubaliWanamtambua
Sawakama wabunge wanatakiwa kupigiwa saluti sembuse waziri mkuu aliyejiuzulu??
Atapigiwa tu, kwani Rwanda kunanini?Aende Rwanda kama atapigiwa saluti.