CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
- Thread starter
- #41
Haujafutwa.Kwani uwaziri mkuu mstafu umefutwa?
Haujafutwa.Kwani uwaziri mkuu mstafu umefutwa?
Duh!Hahahaaha askari wa kenya bro hata wewe wanaweza kukupigia salute ili mradi uonekane una kaharufu kauongozi, yaani ni me kiongozi au uliwahi kuwa kiongozi. Au hujui hata hapa bongo askari wanatakiwa wawapigie salute wabunge??
Watalia sanaWABUNGE TU WACCM WAMELIA KWANINI HAWAPIGIWI SALUTE
Kwanini?Pole sana mleta mada
Hao sio migambo.mbn wanaonekana kama migambo,au hata mgambo ni askari ila wa hadhi ya chini kidogo?
IlaLowassa sio kiongozi wa Kenya.Nchini Kenya kuanzia cheo cha katibu tarafa hupigiwa saluti kisheria.
Askari wetu watawapigiaje wabunge salute wakati wanawabeba tanganyika jeki kuwatoa nje ya ukumbi wa bunge au kuwapiga ma bomu?kama wabunge wanatakiwa kupigiwa saluti sembuse waziri mkuu aliyejiuzulu??
Teh teh teh teh..........Askari wetu watawapigiaje wabunge salute wakati wanawabeba tanganyika jeki kuwatoa nje ya ukumbi wa bunge au kuwapiga ma bomu?
Yeye kama kiongozi kwenda Kenya sio ajabu.Alienda kugombea urais? Maana nasikia amesema "Tz si mama yangu nitausaka urais popote duaniani ili niwe rais"
Jeneza tupu au?Saluti ni heshima hata jeneza hupigiwa Saluti hii post ya nini
Saluti ya Kweli inapigwaje?Uongo huoni salute ilivyo pigwa hiyo uongo
Yeye kama kiongozi kwenda Kenya sio ajabu.