Lowassa apigiwa saluti Kenya

Lowassa apigiwa saluti Kenya

Tuwasifie wanaogundua ma solar panels kutuondolea kero za maisha sio wanaosalimiwa Kenya!!! What the heck!!kwanza cheo chahao askar inaonekana Ni chachini na pengine walitarajia ka tip kidogo.
 
Hata kijana wangu wa getini kutoka moja ya kampuni za ulinzi alikuwa ananipigia saluti ninapoingia....ila nikamwambia aache...
 
Hata Magu anaujua moto wa EL! Kama kwenda kihalali kabisa! .....mbona mboga ilishamwagika? Inajulikana kote Mbinguni na duniani
 
Tuwasifie wanaogundua ma solar panels kutuondolea kero za maisha sio wanaosalimiwa Kenya!!! What the heck!!kwanza cheo chahao askar inaonekana Ni chachini na pengine walitarajia ka tip kidogo.
Hao ni askari wenye vyeo
 
Mnashangaa nini? Kama Raila Odinga alipigiwa salute kule Chato/Tanzania kwanini Lowassa asialikwe naye akapigiwa salute huko Kenya? jPM=Raila? Na Kenyatta=Lowasa? Mpaka hapo mchezo haujaisha?
 
Mnashangaa nini? Kama Raila Odinga alipigiwa salute kule Chato/Tanzania kwanini Lowassa asialikwe naye akapigiwa salute huko Kenya? jPM=Raila? Na Kenyatta=Lowasa? Mpaka hapo mchezo haujaisha?
Unajifunza ninihapo?
 
Back
Top Bottom