domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,588
- 1,758
kwani tatizo ni nini?
Tatizo ni nani anayekupigia saluti, kwani hata mateja kuna mateja wenzao wanaowazidi utumiaji wa kilevi chao huwa wanawapigia saluti na huwa wanajisifu, utasikia 'White yuko vizuri katika utumiaji mambo yetu yale!!! Aaa saluti sana kwake, namkubali.' Tafakari.