CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
- Thread starter
- #61
Cha kuzingatia ni AskariMmmhhh adi mgambo anapiga saluti????? Af askari kavaa raba???
Inaonesha kenya wana sheria nyingine
Cha kuzingatia ni AskariMmmhhh adi mgambo anapiga saluti????? Af askari kavaa raba???
Inaonesha kenya wana sheria nyingine
Mbunge hapigiwi salutikama wabunge wanatakiwa kupigiwa saluti sembuse waziri mkuu aliyejiuzulu??
kama wabunge wanatakiwa kupigiwa saluti sembuse waziri mkuu aliyejiuzulu??
Angekuwa fisadi angepelekwa mahakamaniUsiishie tu kusema waziri mkuu...aliyejiuzuru malizia kabisa kwa kashfa ya ufisadi.....
Angekuwa fisadi angepelekwa mahakamani
Unatakiwa uwe kwenye masaburi yakosaluti ipigwapo MKONO usiopiga saluti unatakiwa Uwe wapi?...... nauliza
hivi wewe ulikuwa unafuatilia bunge hata kidogo??Mbunge hapigiwi saluti
Hata mimi namshangaa sana Kubenea alivyosema hasafishiki halafu yeye mwenyewe ndio sasa ameshika brush na sabuni,kweli adui yako muombee njaa
hilo swali kawaulize wao wenyewe watunga sheria..........Askari wetu watawapigiaje wabunge salute wakati wanawabeba tanganyika jeki kuwatoa nje ya ukumbi wa bunge au kuwapiga ma bomu?
Biashara za watu...ila jina linaanza na E........security.Wa kampuni gani?
kuwa ccm inabidi uwe na akili za ziada hivi nani hasiejua heshima lowasa aliyonayo hata hapa tz? Ije itokee mkutano wa lowasa na magufuri tuone mwitikio wa watu!Kweli anakubalika na walinzi wa usiku tena waliovaa sare zao za ulinzi na raba nyeupe! Mwenye akili asinge weka hii picha kwa ajili ya kumsifia kwani inaelezakinyume chake! Fanya Editing, mkate huyo mmoja ubaki na MKK au kama unataka sare zinazofanana na jeshi zionekane mkate mguu huyo mzee wa raba nyeupe. Ushauri tu, kwani akili zimetofautiana sanaaaaaaa
He jamani hivi unawajua wakenya lakini.mi niliwahi kwenda Kenya na gari ya Land cruiser new Model , tukaingia hoteli ya kitalii kila tulipopita ni misaluti tu! Nahuku sina cheochochote!
labda ni askari wa wanyamapori.ila naona km ni Photoshop mbn naona askari kavaa raba