amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,200
Ieleweke kuwa hii ni bila hata kuleta msanii wala hakuna hata aliyeletwa na bajaji. Ni tofauti na wenzetu hawafanyi mkutano bila wasanii 20 na malori 50 yanayopiga ruti kumi kumi za kubeba watu. Angalia gharika lililoikumba babati jana. Watu wanafurika kwa mioyo yao. Mji ulisimama kwa saa 4.