Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,078
Siku ya jana ilikuwa ni shangwe, Nderemo na Vifijo kwa wapenzi wa CCM wanaomuunga mkono Edward Lowassa katika mbio zake za Urais ndani ya CCM katika mkoa wa Mbeya baada ya kumpa mapokezi makubwa na zaidi ya wanaCCM ELFU HAMSINI kumdhamini kwa kutia saini fomu yake ya kuomba kugombea urais.
Hii ni rekodi mpya kabisa kwa Lowassa kupata wadhamini, ambako rekodi ya juu aliyoweka hapo kabla ilikuwa mkoani Kilimanjaro ambako alipata zaidi ya wadhamini Elfu 37.
Ikumbukwe kuwa Mbeya ni Ngome kuu ya Mark Mwandosya ambaye naye anaomba kugombea urais.
Source:ITV Habari.
Hii ni rekodi mpya kabisa kwa Lowassa kupata wadhamini, ambako rekodi ya juu aliyoweka hapo kabla ilikuwa mkoani Kilimanjaro ambako alipata zaidi ya wadhamini Elfu 37.
Ikumbukwe kuwa Mbeya ni Ngome kuu ya Mark Mwandosya ambaye naye anaomba kugombea urais.
Source:ITV Habari.