Lowassa apata zaidi ya wadhamini Elfu hamsini jijini Mbeya

Lowassa apata zaidi ya wadhamini Elfu hamsini jijini Mbeya

Pamoja na Lowassa kukusanya umati mkubwa wa watu alipoondoka,wapambe wake walibaki wakakabwa na wananchi waliokuwa wanadai wapewe chao,suala hilo lilikuwa linajadiliwa leo asubuhi na kituo cha Bomba fm.

Ina maana hiyo team yake watakuwa walichikichia mshiko gawiwo nini?
Tehe tehe. Nahisi kuna mamluki mengi sana oyaoya sana ili wakamue hela za mzee tu
 
Lowasa katumwa na Mungu kutukomboa watanzania

Hakika kuna Mungu na miungu aibu kubwa inakuja! Watu 50,000 watasaini VP kwa kutumia nini kwa muda gani kila MTU? Kujaza ile fomu kwa mwelewa ni dk 1= na watu 60 kwa SAA 1 =na na watu 7200 kwa SAA 12 hivi hamwoni hii ni zaidi ya usanii? Ni aliye lala tu?,,, oneni aibu.
 
Oh alitembeza ela balaaa elfu 40, 30, 20 zilitolewa balaaa madereva bodaboda ndo walifaidi sn

Mungu wa Mbinguni tazama haya Mwizi anagawa pesa alizoiba kwa wananchi. Na anataka kywa mlme wa nchi. Sikia kilio hiki.
 
Lowasa katumwa na Mungu kutukomboa watanzania


Mjinga ww!! hyo mungu wako c yule nae mjua...wengi wanaotumwa na Mungu hata wafuasi huwa hawana, na hawakubarki wakat huo!!

Ulipewa akili utafakar,ujiulize na uamue!

"Mungu ibarki Tanzania,uwasamehe wajinga hawa wenye macho lakin hawaoni wenye maskio lakin hawackii...utujalie tupate kiongoz bora na wengi wasiomzania/mtarajia bali kwa mapenzi yako yatimie" amen
 
Zanzibar-ASP

Wale wanaosema Lowassa anawanunua watu, watupe tathmini hawa 50,000 wamenunuliwa kwa Tsh ngapi ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom