Lowassa apata ugeni wa Wafanyabiashara

Lowassa apata ugeni wa Wafanyabiashara

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Wafanya biashara wa kata ya Kisutu wamemtembelea siku ya leo.

Nimefurahi kupata muda wa kubadilishana mawazo na vijana hodari wanaojituma katika kazi.
Nawatakia kila la kheri katika shughuli zao za kimaendeleo.
 

Attachments

  • 13521879_1112333012166620_2269571209283037008_n.jpeg
    13521879_1112333012166620_2269571209283037008_n.jpeg
    8.6 KB · Views: 87
  • 13495070_1112333005499954_5278809325159536605_n.jpeg
    13495070_1112333005499954_5278809325159536605_n.jpeg
    7.4 KB · Views: 78
Siku hizi ni mwendo wa kutembelea Mayatima, kutembelewa na Vijana wafanyabiashara, Zile zama za kuhudhuria Maharambee na Kumwaga Mamilioni Makanisani,misikitini,kwny Vicoba zimekwisha hazijirudii tena.
Naona umeanza kuweweseka
 
Pohamba naomba urudi kwenye thread zinazomhusu Magufuli ukasaidie kutafsiri kauli zake.
Maajabu ya dunia, mtu anaongea kwa Kiswahili halafu mnamsaidia kutafsiri kwa kiswahili.
Kama Dr.Tulia tu kawakimbiza huku mnafunika Midomo kwa Mikaratasi Dr.Magufuli mtamuelewa kweli?
 
Wafanya biashara wa kata ya Kisutu wamemtembelea siku ya leo.

Nimefurahi kupata muda wa kubadilishana mawazo na vijana hodari wanaojituma katika kazi.
Nawatakia kila la kheri katika shughuli zao za kimaendeleo.


Fisadi Lowasa ni narcissist !

open-uri20120906-6691-rdk0nd1.jpeg


me1.jpg
 
Safi sana kwa taarifa. Mungu amjalie afya njema. Na wagombea wengine kama akina Hashim Rungwe Spunda wakitembelewa tujuzane pia.
 
Back
Top Bottom