gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
si mlishasema ameisha nini mnaweweseka naeKweli Tunajiuliza "Mchamungu wetu wa Harambee" kakumbwa na Shetani gani tena?
Kiboko ya ccmLowasa ndio nani wakuu?
mahaba bado yapoKupendwa????? Mmmmm
Wafanya biashara wa kata ya Kisutu wamemtembelea siku ya leo.
Nimefurahi kupata muda wa kubadilishana mawazo na vijana hodari wanaojituma katika kazi.
Nawatakia kila la kheri katika shughuli zao za kimaendeleo.
He is very oppotunistic as Tanzanian can easily be fooled no wonder at now time two years bf 2020 he will start mark my wordNaona umeanza kuweweseka
Hayo yanafanyika MTU akiwa CCM ukiishaingia CDM hamna hiyo kitu.Siku hizi ni mwendo wa kutembelea Mayatima, kutembelewa na Vijana wafanyabiashara, Zile zama za kuhudhuria Maharambee na Kumwaga Mamilioni Makanisani,misikitini,kwny Vicoba zimekwisha hazijirudii tena.
pesa ziliishia kwenye kampeni. aliuza mpaka nyumba yake hali ni ngumu wajameni. siasa ni mdudu mbaya sanaKweli Tunajiuliza "Mchamungu wetu wa Harambee" kakumbwa na Shetani gani tena?