kwani umemaliza Kula daku kwa bwana Dau?Wachagga wamefikishwa Lowassa, siku hizi hagawi vibahasha.
kwani umemaliza Kula daku kwa bwana Dau?Wachagga wamefikishwa Lowassa, siku hizi hagawi vibahasha.
ndivyo ulivyodanganywa ukadanganyika! ukitaka kujua details uliza waliokuw mawakala wa chama. watakupa ukweli. achana na siasa za longolongo hizi na kupeana mioyo bila sababuKwani hakushinda? kura zake si mlizihujumu hivi hivi.
Alipigwa mbele ya wasimamizi wa kimataifa uchaguzi ulikuwa huru na haki.au labda yale mafuriko ndio bado yanakusumbua ile ilikuwa zuga au huwajui wabongoo.Kwani hakushinda? kura zake si mlizihujumu hivi hivi.
Kama Dr.Tulia tu kawakimbiza huku mnafunika Midomo kwa Mikaratasi Dr.Magufuli mtamuelewa kweli?
Kwani meruhusu mikusanyiko?mzee lowassa alikuwa na moyo wa kuchangia pesa nyingi sana, siku hz sijuw vipi!!
Aliyekwambia alitumia pesa yake ni nani?pesa ziliishia kwenye kampeni. aliuza mpaka nyumba yake hali ni ngumu wajameni. siasa ni mdudu mbaya sana
Kwani sasa hivi waongea taarabu na mipasho ni naniWafanyabiashara wenyewe wanafanana na juma haji duni na taarabu yake ya mahabaa.
Hivi wafanya kaole huwaonuAmewaalika vijana wake sio kwamba wameenda wenyewe huyo ni mzee wa maigizo
Siku hizi ni mwendo wa kutembelea Mayatima, kutembelewa na Vijana wafanyabiashara, Zile zama za kuhudhuria Maharambee na Kumwaga Mamilioni Makanisani,misikitini,kwny Vicoba zimekwisha hazijirudii tena.
alikuwa anatoa makanisani!! au makanisani napo mikusanyiko hairuhusiwi?Kwani meruhusu mikusanyiko?
Jamani hebu tuulizane huyu mzee uraisi mbona kaushupalia hivi.kama angeshinda nchii ingeuzwa mchana kweupee.
Kwani unaona tunakoelekea ni wapi kwa sasaalikuwa anatoa makanisani!! au makanisani napo mikusanyiko hairuhusiwi?
Subir kijana watu wameficha makucha ficha maneno ya akiba.Siku hizi ni mwendo wa kutembelea Mayatima, kutembelewa na Vijana wafanyabiashara, Zile zama za kuhudhuria Maharambee na Kumwaga Mamilioni Makanisani,misikitini,kwny Vicoba zimekwisha hazijirudii tena.
alituambia Jakaya kuwa alipata habari jamaa kauza mpaka nyumba. kwani hayo mapesa aliyapeleka wapi kama siyo kwenye kampeini. kipindi kile chadema ilikuwa dhohofuli hali. bado kidogo wamfukuze, chama kiliyumba. mpaka kampeni nadhani zilisimama kwa muda na zikawa zinafanyika kila baada ya siku mbili tatu. sio kila sikuAliyekwambia alitumia pesa yake ni nani?