Lowassa aongezewe ulinzi

Lowassa aongezewe ulinzi

Ama kweli penye udhia penyeza lupia....yaani leo huyu Lowasa amekuwa lulu CHADEMA na amekuwa msafi kama theruji......wonders shall never end....

Endelea kushangaa mkuu,ndio wakati wako wa kufanya hivyo kwani baada ya november ndio atakuwa prezidaa wako,hakuna jinsi
 
Hata mi nimebaki ninastaajabu sana. Hivi kweli hawa watu wanakaa na kujitathmini au wanafuata tu crowd mentality? It is becoming a little scary!

Poleni jamani kutesa ni kwa zamu,sasa hivi maumivu yamehamia upande wenu
 
Mimi msafi. Kwani mimi nimefunguliwa mashtaka ya money laundering? Kwani mimi nagombea urais sasa hivi. Lowassa amesema kama kuna mjinga ana ushahidi aende mahamakani,24 hrs later mtu amekwenda mahakamani.

Acha hizo mkaruka!
Everybody is innocent until proven guilty. Lowasa naye ametoa rai kama kuna mwenye ushahidi,aende mahakamani. Usinambie habari za Mtikila,for i personally know the dude,in and out,na ni jirani yangu. Mtikila inafikia hata pesa ya bajaji anaomba. Je ukimpenyezea Shekeli hata 1M, Atashindwa kufungua kesi,hata kwa ushahidi wa kuungwa?
Pia ile kesi ya Money Laundering,inakaribia ten years,na mamlaka zenye unquestionable integrity kama za UK ukiona inachukua that long,ujue hakuna kitu.
So shut up!!
 
Ndugu zangu, maCCM hayaamiki kabisa...ni sawa na fisi mwenye njaa anayemfuata mtu nyuma akitegemea mkono udondoke apate kitoweo. Hawa mafisi ni wa kuwaogopa zaidi ya UKOMA!

View attachment 272531

Wakae wakijua kuwa hata yule nyoka mpole sana kifutu ukimkanyaga mkiani akakasilika huamua kujilinda na kukugonga pigo kali sana,na sumu yake huwa ni mbaya sana,huo ndio mfano mzuri wa upole wa watanzania walio amua kuwa lowasa ndiye rais wao ajaye
 
Mla uliwa,kama aliwafanyia wenzie maovu akiwa kwa system ajue yatamrudia,malipo ni hapa hapa duniani
 
huu ukaribu usio na afya kati ya ccm na TISS ndo unantia wasiwasi ningependa ukawa wawafanyie scaning hata hawa walinzi wa lowassa coz dont trust police hata kama ni ndugu yako nina wasiwasi na hawa walinz wa EL ni kutoka TISS sasa wasije kuwa wanapokea order kutoka makao makuu ya TISSCCM pale karb na DSTV
 
CCM wanajiita chama dola. Ndo kinachowapa kiburi cha kufanya watakavyo.
 
Aongezewe ulinzi kabisaaa . make hata Jana niliona walikuwa wanapita kwa shida katikati ya watu.
 
Ninaimani mungu atatenda miujiza na kumlinda hyu mkombozi wetu na tumaini la watz Mh.Lowasa. Watanzania wapo nyuma yako katika adhima yako ya kuwaletea maendeleo na kuwaondolea umaskin.. In UKAWA and Lowassa we trust.
 
Mkuu unamaanisha kuwa yule tuliyekuwa tukimpigia debe kuwa apelekwe mahakamani kwa ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma huku tukijinadi kuwa tuna ushahidi wa kutosha leo hii tunapigia debe apewe ulinzi na sio kupelekwa jela............

mkuu, ushahidi unao? peleka mahakamani.
 
Kama ni hivyo, pamoja na kuimarisha ulinzi, basi ukawa wawe na mgombea wa akiba ...in case....
 
Ameshachukua kampuni la kijasusi linatoa maelekezo kwa red brigade: nani asiye na akili amuue EL sasa nchi igeuke Kosovo?
 
Back
Top Bottom