kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Kajidhalilisha tuNilisema kuwa hana lolote la maana
Kajidhalilisha tuNilisema kuwa hana lolote la maana
Wakati wa maswali ila naona hawa radio five wamerudi studio kunani . Hope mkuu invisible anataendelea kutuupdate . Hamna cha kujivua gamba wala nini, sijui kama huyu jamaa atajisafisha mhhhhhhhhhh
anajitahidi kujisafisha lakini wapi . Nimeamini siasa ni mchezo wa mabavu zaidi ya rugby
hamna cha kujivua gamba wala nini
Huyo bwana hana jipya, naona hakuna kitu cha maana alichoongea, ni mambo yale yale ya kulalamika kwa kuchonganishwa na rais!. Anawapotezea watu muda wao kwa hizo pumba zake. Anataka watanzania wamuonee huruma kwa madhambi yake. Ni bora aseme tu kwamba anaanza kampeni za urais 2015.
Nilisema kuwa hana lolote la maana
Nadhani kuna kitu kazuiliwa. Alikuwa kishakaa ili aanze kuongea mapema, akaondoka ghafla. Yawezekana alipigiwa simu na kupewa maelekezo tofauti? Matarajio ya wengi yalikuwa aongelee masuala mengi, Richmond/Dowans, hali ya usalama a nchi, afya yake (baada ya kudaiwa kuwa alikuwa nje kwa matibabu) n.kJamani sijaelewa kabisa promo yote ile aje kusema hayo tu haiingii akili hata kidogo labda anaendelea kupima upepo kabla hajaropoka.
Kweli huyu jamaa ana roho ngumu aisee
Ndio hayo alioongea?