KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Huwa najiuliza, kamati hii chini ya Mwakyembe kwanini haikumuhoji Lowassa kipindi kile? Nini kiliwazuia? Hivi unamtuhumu mtu halafu humuambii ajitetee bali unaishia kumfunga tu!? Enyi wanafunzi wa Mwakyembe, ndivyo anavyofundisha sheria na katiba?
Sasa taifa limebaki kugaa gaa kwa kukosa ukweli japo taifa liligharimia mabilioni kuilipa tume ya Mwakyembe, na hii ni laana ambayo inalitingisha taifa, na inaonyesha athari ya kazi za kulipua zinazofanywa na wasomi wetu.
Mwakyembe kwani alimhukumu lowassa? Hebu acheni uvivu itafuteni report ya mwakyembe muisome mwanzo mwisho bila jazba mtaona alichokisema mwakyembe kwenye report yake.Na mnaosema lowassa hakupata muda wa kujieleza ni waongo,muda alipewa na spika baada tu ya mwakyembe kumaliza kuisoma Ile report.Akautumia vibaya sana.