Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Nahisi membe anapendelewa tu. Nashangaa sana MTU kama mwandosya , pinda wassira hawapewi muda mrefu kama membe. No one knows himi zaidi ya kunsikia kwenye media hasqaa wakati huu
 
Nimekuwa nikiona nguvu kubwa inayotumika hasa na vyombo vya habari kumfagilia lakini katika siku hizi mbili naona kama kanunua haka ka channel kanaitwa Channel Ten. Kwanini anatumia nguvu kubwa hivi? Jana usiku kukawa na kipindi maalum cha yule mzee fisadi wa stand ya Ubungo, leo from nowhere eti kukatwa kwa Lowassa kumekuwa mjadala! Shame on You Lowassa
 
Nimekuwa nikiona nguvu kubwa inayotumika hasa na vyombo vya habari kumfagilia lakini katika siku hizi mbili naona kama kanunua haka ka channel kanaitwa Channel Ten. Kwanini anatumia nguvu kubwa hivi? Jana usiku kukawa na kipindi maalum cha yule mzee fisadi wa stand ya Ubungo, leo from nowhere eti kukatwa kwa Lowassa kumekuwa mjadala! Shame on You Lowassa

Nilishawahi kusemea jambo hili la kununuliwa kwa baadhi ya stations za luninga na huyu mheshimiwa
 
Nilishawahi kusemea jambo hili la kununuliwa kwa baadhi ya stations za luninga na huyu mheshimiwa
Hivi unavyoropoka una ushahidi, mbona Akili Za watu wengine Ni Kama wamepakaziwa?! Mtu anaropoka una ushahidi gani, Mara kahonga wadhamini 870,000 we umetoa wapi ushahidi ..!
 
Hapo mtoa mada umeonyesha kuwa wewe ni Bendera hufata upepo huna hoja bali umepandikiziwa chuki tu,
 
Akatwe tu banah! watu hawali wakashiba, hawaogi wakatakata kazi ni mimvi mimvi!

Naisiwe nongwa ndugu wananchi wacha akatwe
 
Back
Top Bottom