Lowassa amtisha Rais Kikwete

safari ya matumaini imeanza,hizi ni rasharasha tu,mengi tulipitia hizi taarab hazitotuyumbisha..
TEAM lowassa
 
Last edited by a moderator:
Watanzania watamkataa Lowassa kupitia sanduku la kura!

Ngoja tuone hiyo CC kma itampitisha ila kuna coaster 100 zinasubiria tarehe 30 zikasombe wa2 huko wilayani kuwaleta sheikh amri......hivi kma anapendwa c raia atakuja uwanjani kwa nauli yake au siyo,hii tabia ya kuleta wa2 na mabasi ccm wamezoea ili uwanja ujae dadadeki zao ngoja tungojee tuone mwisho
 
nop to be ignored! / LOWASSA sio MTU WA VISASI by NATURE/ inawezekana wewe ni timu MEMBE au MWANDOSYA
 
Naona kama Mamvi amei-hold CCM under siege vile lakini ajue ti hatafikia raundi ya kupigiwa kura
 
Team membe wameamua kumtisha Jk na familia yake...Lowassa sio mtu wa visasi Lowassa ni mtu wa kazi!
 
Si walimweka madarakani JK...wanaweza fanya watakavyo...kuna ahadi nyingi waliaahidiana hadi mtu kumpiga jeki JK kuingia magogoni... Ahadi ni kuwa baada ya JK... Lowassa ndio atakuwa Rais... hiyo ilikuwa amini yao... yaani kiapo chao na JK, sasa ndio hivyo hali imekuwa ngumu, Lowassa atapita na kuwa Rais...ila hii ni Story imeletwa na Team Membe kumtisha JK, ili JK akate jina la EL... Lowassa si mtu wa visasi... Team Membe hawana mbinu kabisa.. mbinu zao ni attacks to Lowassa tu.. very poor
 
Itakuwa movie nzuri kuwafikisha mahakamani ili watuambie ukweli kuhusu Richmond iliyo sababisha Lowassa achafuliwe jina lake. Gooooooooooo Lowassa magomeni ni kwako. Mahamuzi magumu tunayasubiri kwa hamu.
 
Katiba hairuhusu rais mstaafu kushtakiwa kwa lolote alilotenda akiwa madarakani!

Lowasa hana Time na mabaya ya Nyuma yeye anataka kuingia ikulu na kuanza ukurasa mpya atatawala kama Mwai kibaki na mandela hatakuwa na Visasi.
 
uandishi wa kizandiki namna hii
alafu wanalia lia sheria kali zingitungwa
 

Mtu kiongozi wa Fitna juu ya Lowasa ni Membe pekee wengine akina Nape ni wapambe wake tu baada ya kupewa vicent tokea kwenye Yale mapesa ya marehemu Gadafi.
 

Hao wengine hawakuwa wabaya kwa Lowasa japo watakuwa na ya hapa na pale kidogo. Mtu pekee Adui wa Lowasa ni Benard Membe huyu anatamani hata Lowasa Afe leo atashukuru kwani katumia Pesa nyingi sana kumroga, kumchafua kafanya mbinu mbali mbali ikiwemo kumchonganisha na watu wa Usalama wa Taifa nk, membe anaogopa sana Lowasa akiingia ikulu lazima atahama Nchi na huenda akaenda kumpigia magoti mapema amwombe msamaha kabla hakijanuka juu ya mapesa ya Marehemu Gadafi aliyokwapua kimya kimya na kuyatumia kusaka njia ya kwenda ikilu.
 

Mtu kiongozi wa Fitna juu ya Lowasa ni Membe pekee wengine akina Nape ni wapambe wake tu baada ya kupewa vicent tokea kwenye Yale mapesa ya marehemu Gadafi.
 
Membe kahangaika weee hadi alienda Misitu ya Amazoni kusaka waganga ili cc wampitishe sasa ngoja tuone kama uchawi wa membe utafanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…