Lowassa amtisha Rais Kikwete

"Jana Jumatatu, Kamati ya Maadili ya chama hicho iliyodai ilikuwa na faili la Lowassa na watuhumiwa wengine sita, imesema kuwa mwanasiasa huyo hana tena hatia na kwamba adhabu aliyopewa tayari imemalizika" mi nauliza hiyo kamati inaundwa na akina nani pale CCM ambao wana maadili?
 
Ila jamani Tanzania kuwa na Lowassa ni janga la Taifa
 
CCM ina wakati mgumu sana. maana lowasa ameshateka ccm kwa kiasi kikubwa. alianza kuwwahonnga wajumbe wa vikao muhimu muda mrefu sana.
 
Mufindi mnaogopa nini akiwa Rais huyu ndg? Wacha propaganda nyeusi hapa....ni nani zaidi ya Edward Lowassa ndani ya CCM yetu? hebu tuwe wakweli tuweke mipango binafsi kando

ni kweli mkuu kwa mfumo wa ccm lowasa ndiye anafaa kuwa mgombea. maana aliteka chama muda mrefu sana kutokana na fedha zake.
 

haa haa mapacha watatu wataendelea kuitesa ccm sana..
 
Uswahiba wake na Rost-hamu unatia shaka
 
Mkuu, Lowasa hawezi kuwakemea mafisadi kwa sababu na yeye ni mmoja wao. Hayo madudu wanayofanya akina Chenge ni kwa lengo la kumtumikiamLowasa
 
Mufindi mnaogopa nini akiwa Rais huyu ndg? Wacha propaganda nyeusi hapa....ni nani zaidi ya Edward Lowassa ndani ya CCM yetu? hebu tuwe wakweli tuweke mipango binafsi kando

Kumbe anataka kuwa Rais wa Mufindi, hapo sawa...Ila km ni Rais wa Tanzania basi hafai kabisa!
 
Anaenda kuwatumikia waTanzania wanaohitaji Tumaini Jipya.

Tunaianza Safari ya Matumaini.[

/QUOTE]

Kumbe mnamwogopa kwasababu mlitumia madaraka vibaya sasa tunasema lowassa ndie mkombozi wa wanyonge hakuna wakupinga
 
Ila jamani Tanzania kuwa na Lowassa ni janga la Taifa

Leo anaitisha kaita waandishi wa habari...tetesi ni kua anataka kuongelea kuhusu richmond kweli huyu mzee anaweseka sana sijui nini kiko huko ikulu anachofuata
 
Mkuu, Lowasa hawezi kuwakemea mafisadi kwa sababu na yeye ni mmoja wao. Hayo madudu wanayofanya akina Chenge ni kwa lengo la kumtumikiamLowasa

Leo mmeanza kuumbuana naskia leo ameita waandishi anataka kuongelea kuhusu richmond jamani mtamuua huyu mzee bure.....halafu kma watanzania wanampenda kwanini tarehe 30 wabasi 100 wamekodiwa kuleta wa2 sheikh amri kutoka wilaya zote za arusha.
Hivi ukipendwa na wananchi c wanakuja wenyewe kwa nauli zao hii tabia y kupakiza wa2 kwenye mafuso n kujaza uwanja amerithi kwa ccm wenzie
 
Kuwaongezea adhabu imeshindikana sasa ni kuwachonganisha na viongozi wengine. KWANINI LOWASSA TU LAKINI???? mbona waliofungiwa walikuwa wengi na wote wamefunguliwa???

Hebu mtoa mada nijuze kwanini umemzungumzia Lowassa peke yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…