lowasa amemshangaa nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha chama?
Lowasa amesema ccm anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!
Source: Itv habari kwa saa!
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?
Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!
Source: ITV habari kwa saa!
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?
Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!
Source: ITV habari kwa saa!
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?
Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!
Source: ITV habari kwa saa!
Kauli ya Nape ni kauli ya Jk.
Lowassa jiandae kuenguliwa.Hivyo vikao unavyoongelea vikikaa kazi ni moja tu nayo ni kuhakikisha unapigwa chini.
Hata hivyo,hii ni laana ili tu CCM iangamie kupitia Lowassa na Kikwete.
Hata Mungu amewachoka na this time lazima msambaratike kama sio kuhujumiana.
Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Mmetutendea uovu mwingi watanzania na sasa mungu kasema yatosha.
Mnara wa babeli unakaribi kuanguka.
Tatizo Nape kwenye hili swala pamoja na kuwa msemaji wa chama hayuko natural toka zamani..ndio maana ata kama anafanya kazi yake wengine wanadhani anafanya kwa sababu binafsi!..
Tatizo Nape kwenye hili swala pamoja na kuwa msemaji wa chama hayuko natural toka zamani..ndio maana ata kama anafanya kazi yake wengine wanadhani anafanya kwa sababu binafsi!
NB:Hili swala haliwezi kuwasaidia UKAWA kwenda ikulu na wala wasijidanganye ...Rais wa nchi hii hawezi kutoka nje ya CCM..
Kumbe na wewe ni mjinga vilevile,Nape anapaswa kueleza matamko ya vikao,aina maana kwa kuwa yeye ni msemaji wa chama basi anaweza kusema chochote anachofikiria!Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,
kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,
Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
naona unajitia vidole mwenyewe na kukatika mwenyewe[
/color](vidole vya macho)
Nape hafai kuwa msemaji wa chama, kwani tayari ana-side...