Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

kumbuka ccm ni mfumo, huwezi kufanya mambo tu kwa kujiamulia,"wanasema when ur in Roma, do like romans"so huenda kuna vitu vingi alitamani kuvifanya vizur ila tatizo ni mfumo mbaya wa ccm, wenyewe wanasema kila ukitaka kuufanya kitu wamekuzunguka, wachache mnasapoti ccm ila ukweli mnao kwenye mioyo yenu, madini anauzwa tu hakuna agenda ya nchi kama nchi kuwa rasilimali zetu zitatumika kwa mpangilio flani, watu wanajichimbia tu mmadini na kukimbia nayo, na nyie bila aibu mnawasapoti

Kila siku mimi fairly nasema moja ya mtu wa kupongezwa katika Katiba Mpya ni Rais Kikwete. Alikuwa na nia ya dhati kutupatia Katiba Mpya kabla ya kuondoka Madarakani.

Ni kutokana na mfumo mbovu ndani ya CCM na baadhi ya Washauri wabovu wakamtisha, na tishio ambalo lilimuingia akilini Mh Rais ni pale WAPINGA Mabadiliko walipomtisha kuwa akiruhusu Serikali 3 itakuwa ticket ya Kuvunja Muungano. Sasa kwa kuwa hamna Rais apendae kuacha Legacy Mbaya ya KUMFIA Muungano Mikononi mwake, somo likamuingia akabadilisha gear angani, sote tu mashahidi kilichotokea siku wa Uzinduz alibadilika na Katiba Mpya ikafa siku hiyo. Kwa sasa kuna KATIBA PENDEKEZWA YA CCM! Hivyo ndani ya MFUMO, hata Dr Magufuli hatakuwa na jipya!
 
Uongozi ni hekima itokayo kwa Mungu, so kila MTU ana weza kuwa kiongozi na akajua hili na kulifanyia kazi
 
Kinachomwaribulia lowasa ni CV yake tu....laiti CV ya lowasa ingekuwa Safi angeshinda kwa zaidi ya 85% kama ilivyokuwa JK 2005, yote tisa oct 25 kitaeleweka

Mungu ibariki Tanzania
 
Lowasa very wisdom hana papala angekuwa nape tayari angekuwa star tv kutukana God we in general to give us Mr edo as a holy candidate Presidential chosen by Almighty.
mkuu; hii lugha ya wenyewe achana nayo kabisa. Tumia tu kiswahili!
 
Fisadi wenu lowassa ananadiwa na Tambwe Hiza na Mr zero hao ndiyo viongozi wa Chadema?

Wewe inakuhusu nini hata kama sumaye na tambwe watamfanyia campaign????kijana achakupoteza muda shughulikia maisha yako.
 
Huyu mzee ni strategist wa kufufua mtu,he knows what to say,when to say and where to say.you have my vote baba.
 
mkuu; hii lugha ya wenyewe achana nayo kabisa. Tumia tu kiswahili!

Kwa kuwa ana ujasiri wa kuandika hivyo hivyo mradi liende, sina shaka atakuwa na shahuku ya kijifunza kuandika na kuongea kingereza fasaha kadri siku zinavyo kwenda.
 
hamjitambui, anatumia kutokumfaham kwenu na udhaifu wetu kuwatumia kama daraja la kutimiza yake. Kashakwambia akishinda yy atashugurika na mama lishe na bodaboda je na ww mama lishe au bodaboda? Huyu mtu tapeli hana maono ya kulifikisha taifa hili ktk maendeleo endelevu, akataliwe kwa njia yoyote ile

Unamaanisha nini unaposema "kwa njia yoyote ile"? Ninyi ndio mtakaovuruga amani nchini mwetu.

Halafu hao waliolufikisha taifa hili katika hayo maendeleo endelevu wataje na ututajie hayo maendeleo.
 
agenda ya kwanza ya ccm ni
1.kumzungumza vibaya lowassa
2 ni kutishia wanaohama na matusi
3.ni kubeba watu kwa malori na mabasi kujifariji mnawafuasi wengi
mnasahau kujadili matatizo ya wapiga kura wenu , mnajichimbia kaburi lenu wenyewe zimebaki siku 21
 
kumbuka ccm ni mfumo, huwezi kufanya mambo tu kwa kujiamulia,"wanasema when ur in Roma, do like romans"so huenda kuna vitu vingi alitamani kuvifanya vizur ila tatizo ni mfumo mbaya wa ccm, wenyewe wanasema kila ukitaka kuufanya kitu wamekuzunguka, wachache mnasapoti ccm ila ukweli mnao kwenye mioyo yenu, madini anauzwa tu hakuna agenda ya nchi kama nchi kuwa rasilimali zetu zitatumika kwa mpangilio flani, watu wanajichimbia tu mmadini na kukimbia nayo, na nyie bila aibu mnawasapoti
Hizi ndizo akili zinazosema CCM haijafanya lolote.

Mbona viongozi wa CHADEMA/UKAWA kila siku wanamsifia Mwl. Nyerere. Au wewe unadhani Mwl. Nyerere hakuwa ndani ya mfumo ''mbovu'' wa CCM.
 
Pole sana. Ukisema hadharani weka source kwenye hadhara ileile.

wazee wa misukule sasa hivi hamsali... kwani baada ya madili ya sembe kufyatuliwa....DECI na yenyewe kupigwa chini...mnaota siku kinara wa mafisadi atakapoingia madarakani ili mfungulie mifereji yenu mingine... viwanja vyenu vya kibaha vimegunduliwa na kuna uharamia mlicheza..watumishi mliowapachika serikalini list imegunduliwa ..wato wako kwenye hali tete..... WANATETEMEKA na JINA la TINGA TINGA!!!! habari yenu imeshakwisha!
 
Maisha yanaendelea...uzima watoka kwa bwana
 
Kila kukicha naomba Lowassa awe raisi kuna kundi la watumishi wa umma {WALIMU} wanatia huruma wanaonewa lakini hawana mtetezi nalia naumia nasikitika halafu CWT nao wasivyo na huruma wanaungana na serikali kuwatesa walimu nasikia wamekopesha serikali inauma mtu anayekutesa unamsaidia? walimu wanadai mishahara wengine tangu wajiriwe hawajalipwa wengine hawajapandishwa madaraja ILA MUNGU YUPO MWAKA HUU ATAJIBU nitampigia kura lowassa atuokoe
 
Anabadlika kama kinyonga.Wamarekani na jumuiya ya kimataifa walio katika mapambano na ugaidi wanaelewa kila kitu Kuhusu Lowasa na kuhusu hela za kampeni zake zinatokea wapi.Hawawezi danganyika.Na wanaelewa kwa nini Lowasa alimchukua Duni Haji muumini wa UAMSHO kama mgombea mwenza.

Kiufupi kwenye jumuiya ya kimataifa Lowassa yuko kwenye BLACK LIST.

Ok. Tutampa kura hivyo hivyo. Kama vipi check na Juma nyoso
 
Back
Top Bottom