Video tafadhali
Nimeshindwa kuiweka hapa....
Nenda Google na tafuta
gwajima na mahakama ya kadhi audio video.... itakuja habari yenye video..
Video tafadhali
huyu mzee jamani..au ndo katumwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania..
alaf tizama wale wote wanaomtukana wanatangulia mbele za haki
Hivi lowasa una akiri kiasi gani? Yaani una akiri mpaka ccm wanashindwa kukuelewa??
Ona sasa mpangilio wa maneno, hukurupuki, ukisema neno unalisema sehemu husika yaan lowasa mm unaniacha hoi kweli mengi nimejifunza kwako
duh hivi English teacher wako alikua Edo???Lowasa very wisdom hana papala angekuwa nape tayari angekuwa star tv kutukana God we in general to give us Mr edo as a holy candidate Presidential chosen by Almighty.
Nimeshindwa kuiweka hapa....
Nenda Google na tafuta
gwajima na mahakama ya kadhi audio video.... itakuja habari yenye video..
Yawezekana uliyo post yakawa kweli kuhusu huyo mzee! Lakini amekuwa madarakani kwenye Serikali ya CCM kwa kipindi kirefu, labda utuchambulie kafanya nini kwa kila eneo ulilolitaja. La ni mhemko tu wako wa kisiasa. Au kwa kuwa kahama CCM, ghafla Mwenyezi Mungu kamshushia hiyo level ya kisiasa!
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Subirini kipigo cha Oktoba 25. Hayo mengine sijui ana busara mtayajua wakati huo. Busara hizo kazipata UKAWA?
Suala la sheikh farid wa uamsho liko mahakamani anaposema atamwachia hapo anaingilia uhuru wa mahakama. Kuna tatizo gani sheria kuchukua mkondo wake?
Inamaana akiwa rais hakuna haja ya kuwa na mhimili wa mahakama na ofisi ya DPP? Kwani mashauri atakuwa anaamua sebuleni kwake! Utakuwa utawala wa hovyo sana.
Lowassa anahekima sana. Ingekuwa magifuli hapo angesha kurupuka na kumwambia mwigulu atukane
Lowasa hana busara. Kama ilivyo kwa mshenga Gwajima.
kwani nyie yule fisadi wenu makufuli ananadiwa nakina nani? amezungukwa na wapiga dili tu na walilia vyeo. hana jipya....
Kichwa chako hakipo sawasawa..rudi facebook!hamjitambui, anatumia kutokumfaham kwenu na udhaifu wetu kuwatumia kama daraja la kutimiza yake. Kashakwambia akishinda yy atashugurika na mama lishe na bodaboda je na ww mama lishe au bodaboda? Huyu mtu tapeli hana maono ya kulifikisha taifa hili ktk maendeleo endelevu, akataliwe kwa njia yoyote ile