Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

huyu mzee jamani..au ndo katumwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania..

alaf tizama wale wote wanaomtukana wanatangulia mbele za haki

This man is so WISE ENOUGN TO LEAD OUR NATION

Lowassa anahekima sana. Ingekuwa magifuli hapo angesha kurupuka na kumwambia mwigulu atukane

Wakae wakijua ya kwamba watanzania sasa sio finyu kimawazo wawe wanapotosha kila linalo semwa hatutawafuata kamwe

EL mtu wa watu. atatuvusha salama kutoka kwenye lindi la umasikini.✌✌

Ukweli tu ambao utabaki milele,Lowassa ni mtu mwenye busara ya juu na uungwana kuliko kiongozi yoyote baada ya Nyerere kutangulia!!!

Hivi maneno ya kipuuzi na hovyo angekuwa anaambiwa Kikwete ingekuwaje?! Membe je?! Magufuli je?! Nepi Nayule je?!!

Kura yangu kwa Lowassa,time for changes!!!

lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.

Nikizingatia watia nia ya urais wote wakiwemo waliokatwa, waliojitoa na waliopita; ni EL pekee ambaye amekuwa na nia ya urais kwa kipindi kirefu (tangu mwaka 1995). Hivyo katika kipindi hiki chote kajifunza mengi kuhusu namna ya kukiishi hicho kiti anachowania, ikiwa ni pamoja na kuwa mtu mwenye uvumilivu, hekima na umakini. Abarikiwe

Lowasa very wisdom hana papala angekuwa nape tayari angekuwa star tv kutukana God we in general to give us Mr edo as a holy candidate Presidential chosen by Almighty.

Nazidi kumpenda Lowassa,nimejifunza mengi sana kutoka kwake.
Ukimya wake ni jibu la mtu mwenye hekma,na ndio maana nitampa kura yangu Insha'Allah.
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.

Lowasa,inavyoonyesha nikuwa alilelewa vizuri na wazazi wake,ana subira,anjipa muda wa kutafakari kisha akitoa jibu linakuwa fupi na linaloeleweka.sio magufuli bingwa wa kukurupuka,kutafuta sifa,inazungumziwa afya,anakimbilia kupiga pushap na wajinga wanamchekea,afya hujulikana kwa kutumia vipimo vya kisayansi

alipo tupo

Kila nikimuwazia Lowassa sipati jibu,zaidi natamani kila mtu awe kama mimi.
Yaani tumchague ashinde kwa kishindo...naiona Tanzania mpya chini ya Lowassa.

Lowssa.Tanzania mpya inakuja

Huyu ndiyo raisi mtu mtulivu. Ya nini kumchaguwa mtu wa kulipukalipuka kama stove ya mchina?? Hahahaha

huyu mzee hakurupuki kama wa upande ule,kule wana mihemko haoo nheee!!

Kadri siku zinavyoenda ndio nazidi kupenda Lowassa.Wamemutukana sana,lakini eddo yuko kimya.Kura yangu kwa Lowassa

Lowassa ni kama musa aliyetumwa na mwenyezi mungu kuwakomboa wana wa israel (watanzania) utumwani.

SAA ya ukombozi ni sasa.
Badilika ewe mtanzania.
Chukua hatua.
CCM out.!
 
hakuna porojo kwenye hili... ni kawaida yenu kumuosha lowasa kwa madodoki! Alitamka jangwani WAKATOLIKI TULISIKIA NA KUMUELEWA...AKATHIBITISHA YEYE NI NANI TABORA KWENYE KANISA LA WALUTHELI...... LAKINI Pia MSHENGA WAKE na MSHAURI WAKE PIA WA KIROHO, MZEE wa Misukule ametamka mara kadhaa alivyokuwa na hamu ya kuangamiza UISLAM TANZANIA..... Kwa hili hampundiki na ni neno linalosambaa kwa kasi kwenye jamii husika.... Tunataka serikali itakayoleta AMANI AMANI AMANI lowasa si mtu wa AMANI...angalia jamii ya watu wake wa karibu!!!

unajisumbua bure. lowasa ndo rais ajaye. safari hii hatugawanyiki kamwe...
 
Kwa faida yako wewe unaechangia bila kusoma

hoja yangu iko palepale kwanini rais amwachie huru na sio mahakama kutenda haki? Na yule aliyefungwa miaka kumi kwa kumhifadhi fisi mbona hamzungumzii? Na yule aliyefungwa kwa mwaka mmoja kwa wizi wa bilioni 11 mbona hamzungumzii? Au ataamuru arudi jela?
 
Fisadi wenu lowassa ananadiwa na Tambwe Hiza na Mr zero hao ndiyo viongozi wa Chadema?

kwani nyie yule fisadi wenu makufuli ananadiwa nakina nani? amezungukwa na wapiga dili tu na walilia vyeo. hana jipya....
 
Wakuu Salaam!

Napenda kunukuu neno kwa neno kadri nilivyosikia Mzee Lowassa akielekeza maneno yake kwa Mzee Kinana.

"Kuna mtu mmoja mwenye mamlaka kwenye Chama, tena Muislam, akaandika barua kwenye gazeti moja nchini MAREKANI, gazeti maarufu kidogo." Akasema 'LOWASSA ANAPENDA MAGAIDI NA ATAENDELEZA MAGAIDI, na AKICHAGULIWA kuwa RAIS ATALETA UGAIDI NCHINI'.

Lowassa anaendelea...Sasa nataka nirudie majibu yangu kwake na kwa waTanzania...nilisema 'NITAZINGATIA SHERIA KUCHUNGUZA KAMA WALE MA - SHEIKH WAMEONEWA na KAMA TARATIBU ZA KISHERIA ZILIFUATWA na KAMA HAZIJAFUATWA NITAWATOA NJE mara MOJA, sasa NAMRUHUSU HUYO ANAETAKA KUSHTAKI DUNIANI AKASHTAKI KOKOTE, angojee TU NIWE RAIS.

Anaendelea Lowassa...Nchi hii ina AMANI kwa sababu TUNAHESHIMIANA hakuna watu wenye HATIMILIKI wa nchi hii kwamba wanachosema wao ni sawa. Mimi nimesema jamani nitachunguza upungufu wa sheria na nitachukua hatua wala SIOGOPI NG'O. kamaliza

MY TAKE:wiki kazaa zilizopita Mzee KINANA aliandika article katika blog ya The HILL tukasoma, Mzee LOWASSA nae kasoma kisha akakaa kimya lakini jana akiwa Pemba hayo ndio majibu yake! Aksante.

Aliongea dakika 7 hayo uliyoandika ni zaidi ya muda huo, tafuteni njia nyingine ya Kumnadi FISADI wenu.
 
Huyo ndiye Lowasa huwa hakurupuki na huwa anatoka majibu sahihi kwa wakati sahihi na sehemu sahihi.Hiyo ndiyo busara ya Raisi sahihi wa nchi.
 
lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.
....Umesahau kimoja..MAAMUZI MAGUMU!Inahitaji mtu mwenye ujasiri wa hali ya juu kutoka CCM..tena kama former PM!Hili lilini-impress sana..
 
hakuna porojo kwenye hili... ni kawaida yenu kumuosha lowasa kwa madodoki! Alitamka jangwani WAKATOLIKI TULISIKIA NA KUMUELEWA...AKATHIBITISHA YEYE NI NANI TABORA KWENYE KANISA LA WALUTHELI...... LAKINI Pia MSHENGA WAKE na MSHAURI WAKE PIA WA KIROHO, MZEE wa Misukule ametamka mara kadhaa alivyokuwa na hamu ya kuangamiza UISLAM TANZANIA..... Kwa hili hampundiki na ni neno linalosambaa kwa kasi kwenye jamii husika.... Tunataka serikali itakayoleta AMANI AMANI AMANI lowasa si mtu wa AMANI...angalia jamii ya watu wake wa karibu!!!

Video tafadhali
 
Wakuu Salaam!

Napenda kunukuu neno kwa neno kadri nilivyosikia Mzee Lowassa akielekeza maneno yake kwa Mzee Kinana.

"Kuna mtu mmoja mwenye mamlaka kwenye Chama, tena Muislam, akaandika barua kwenye gazeti moja nchini MAREKANI, gazeti maarufu kidogo." Akasema 'LOWASSA ANAPENDA MAGAIDI NA ATAENDELEZA MAGAIDI, na AKICHAGULIWA kuwa RAIS ATALETA UGAIDI NCHINI'.

Lowassa anaendelea...Sasa nataka nirudie majibu yangu kwake na kwa waTanzania...nilisema 'NITAZINGATIA SHERIA KUCHUNGUZA KAMA WALE MA - SHEIKH WAMEONEWA na KAMA TARATIBU ZA KISHERIA ZILIFUATWA na KAMA HAZIJAFUATWA NITAWATOA NJE mara MOJA, sasa NAMRUHUSU HUYO ANAETAKA KUSHTAKI DUNIANI AKASHTAKI KOKOTE, angojee TU NIWE RAIS.

Anaendelea Lowassa...Nchi hii ina AMANI kwa sababu TUNAHESHIMIANA hakuna watu wenye HATIMILIKI wa nchi hii kwamba wanachosema wao ni sawa. Mimi nimesema jamani nitachunguza upungufu wa sheria na nitachukua hatua wala SIOGOPI NG'O. kamaliza

MY TAKE:wiki kazaa zilizopita Mzee KINANA aliandika article katika blog ya The HILL tukasoma, Mzee LOWASSA nae kasoma kisha akakaa kimya lakini jana akiwa Pemba hayo ndio majibu yake! Aksante.


Habari hii ya Kinana pia imejibiwa na kukosolewa na mhariri wa jarida la African Arguments kutoka London
Tanzania cannot be allowed to be the new front for state-led Islamophobia

na pia wale mabinti wa kizungu wawili waliopatwa na dhoruba ya kumwagiwa tindikalii nao wame kosoa alichoongea Kinana TheHILL
Zanzibar acid attack survivors: We have lost faith in ever getting justice

Mmoja kati ya walioadhiriwa [ Krstie Trup ] amesema "I [ the victim ] don't believe the reports of charges are accurate. It was just a political stunt"
 
Subirini kipigo cha Oktoba 25. Hayo mengine sijui ana busara mtayajua wakati huo. Busara hizo kazipata UKAWA?
wewe endelea kusubiri upenyezewe. nimesikia unapenda sana kupenyezewa (taarifa)
 
hoja yangu iko palepale kwanini rais amwachie huru na sio mahakama kutenda haki? Na yule aliyefungwa miaka kumi kwa kumhifadhi fisi mbona hamzungumzii? Na yule aliyefungwa kwa mwaka mmoja kwa wizi wa bilioni 11 mbona hamzungumzii? Au ataamuru arudi jela?

Ukisoma mara nyingi zaidi kama mara moja au mbili umeshindwa utaelewa
 
nimeelewa kama mleta uzi alivyoleta kuwa kama sheria hazikufuatwa atamwachia huru, sasa kama sheria hazijafuatwa si mahakama itawachia huru na kama watapewa hukumu isiostahili siwatakata rufaa! Tatizo liko wapi hadi rais aamuru waachiwe huru?

Lowasa ana point: kosa la kwanza, kama Zanzibar kuna mahakama kuu ni kwa nn mliwaleta mahakama kuu za Tanganyika ?? Tuanzie apo!!
 
Ningeshangaa km magamba wangemuunga mkono EL wanaejua kwa hakika anakuja ikata mirija yao.
 
Acha akili za mavi hizo, ww ni kijana kweli watz au ni mkimbizi, wewe umeona jipya gani kwa huyo mzee, ambalo unaweza kusimlia wenzio, yani kwa ujinga ulionao unaona Lowasa mpole sana co, au umemjua jana baada ya kuingia chadema? tena inaonekana bado una tongotongo nyingi sana usoni kwako na pia inawezekana ndo itakuwa mara ya kwanza ww kupiga kura, funga domo lako hilo!

Mwambie awatafute wafanyakazi wake wa nyumbani awaulize busara zake. Huyo ni sumu!
 
Back
Top Bottom