Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.
kupambana kutimiza malengo yako
 
lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.

Yawezekana uliyo post yakawa kweli kuhusu huyo mzee! Lakini amekuwa madarakani kwenye Serikali ya CCM kwa kipindi kirefu, labda utuchambulie kafanya nini kwa kila eneo ulilolitaja. La ni mhemko tu wako wa kisiasa. Au kwa kuwa kahama CCM, ghafla Mwenyezi Mungu kamshushia hiyo level ya kisiasa!

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Huyu ndiyo raisi mtu mtulivu. Ya nini kumchaguwa mtu wa kulipukalipuka kama stove ya mchina?? Hahahaha
 
Wakuu Salaam!

Napenda kunukuu neno kwa neno kadri nilivyosikia Mzee Lowassa akielekeza maneno yake kwa Mzee Kinana.

"Kuna mtu mmoja mwenye mamlaka kwenye Chama, tena Muislam, akaandika barua kwenye gazeti moja nchini MAREKANI, gazeti maarufu kidogo." Akasema 'LOWASSA ANAPENDA MAGAIDI NA ATAENDELEZA MAGAIDI, na AKICHAGULIWA kuwa RAIS ATALETA UGAIDI NCHINI'.

Lowassa anaendelea...Sasa nataka nirudie majibu yangu kwake na kwa waTanzania...nilisema 'NITAZINGATIA SHERIA KUCHUNGUZA KAMA WALE MA - SHEIKH WAMEONEWA na KAMA TARATIBU ZA KISHERIA ZILIFUATWA na KAMA HAZIJAFUATWA NITAWATOA NJE mara MOJA, sasa NAMRUHUSU HUYO ANAETAKA KUSHTAKI DUNIANI AKASHTAKI KOKOTE, angojee TU NIWE RAIS.

Anaendelea Lowassa...Nchi hii ina AMANI kwa sababu TUNAHESHIMIANA hakuna watu wenye HATIMILIKI wa nchi hii kwamba wanachosema wao ni sawa. Mimi nimesema jamani nitachunguza upungufu wa sheria na nitachukua hatua wala SIOGOPI NG'O. kamaliza

MY TAKE:wiki kazaa zilizopita Mzee KINANA aliandika article katika blog ya The HILL tukasoma, Mzee LOWASSA nae kasoma kisha akakaa kimya lakini jana akiwa Pemba hayo ndio majibu yake! Aksante.

Hivi ile meli ya kinanaa iliyokamatwa na ivory ilisharudishwa tanzania?
 
Yawezekana uliyo post yakawa kweli kuhusu huyo mzee! Lakini amekuwa madarakani kwenye Serikali ya CCM kwa kipindi kirefu, labda utuchambulie kafanya nini kwa kila eneo ulilolitaja. La ni mhemko tu wako wa kisiasa. Au kwa kuwa kahama CCM, ghafla Mwenyezi Mungu kamshushia hiyo level ya kisiasa!

TAFAKARI CHUKUA HATUA

Lowasa lowasa owasa lowasa lowasa lowasa
 
Lowassa anaendelea...Sasa nataka nirudie majibu yangu kwake na kwa waTanzania...nilisema 'NITAZINGATIA SHERIA KUCHUNGUZA KAMA WALE MA - SHEIKH WAMEONEWA na KAMA TARATIBU ZA KISHERIA ZILIFUATWA na KAMA HAZIJAFUATWA NITAWATOA NJE mara MOJA, sasa NAMRUHUSU HUYO ANAETAKA KUSHTAKI DUNIANI AKASHTAKI KOKOTE, angojee TU NIWE RAIS.

Anabadlika kama kinyonga.Wamarekani na jumuiya ya kimataifa walio katika mapambano na ugaidi wanaelewa kila kitu Kuhusu Lowasa na kuhusu hela za kampeni zake zinatokea wapi.Hawawezi danganyika.Na wanaelewa kwa nini Lowasa alimchukua Duni Haji muumini wa UAMSHO kama mgombea mwenza.

Kiufupi kwenye jumuiya ya kimataifa Lowassa yuko kwenye BLACK LIST.
 
Huyo ndie Raisi wa awamu ya tano. Mungu ibariki Tanzania Mungu mbari Edo.
 
Anabadlika kama kinyonga.Wamarekani na jumuiya ya kimataifa walio katika mapambano na ugaidi wanaelewa kila kitu Kuhusu Lowasa na kuhusu hela za kampeni zake zinatokea wapi.Hawawezi danganyika.Na wanaelewa kwa nini Lowasa alimchukua Duni Haji muumini wa UAMSHO kama mgombea mwenza.

Kiufupi kwenye jumuiya ya kimataifa Lowassa yuko kwenye BLACK LIST.

Kukazia usahihi wa hilo weka link ikimuonesha yupo among ya blacklist mkuu au bandiko lolote la wa kubwa likimtaja wazi wazi juu ya hayo usemayo mkuu, aksante
 
Itoshe tu kusema, Lowassa ni kiongozi mwenye busara na hekima nyingi sana!
 
Suala la sheikh farid wa uamsho liko mahakamani anaposema atamwachia hapo anaingilia uhuru wa mahakama. Kuna tatizo gani sheria kuchukua mkondo wake?

Inamaana akiwa rais hakuna haja ya kuwa na mhimili wa mahakama na ofisi ya DPP? Kwani mashauri atakuwa anaamua sebuleni kwake! Utakuwa utawala wa hovyo sana.
 
Suala la sheikh farid wa uamsho liko mahakamani anaposema atamwachia hapo anaingilia uhuru wa mahakama. Kuna tatizo gani sheria kuchukua mkondo wake?

Inamaana akiwa rais hakuna haja ya kuwa na mhimili wa mahakama na ofisi ya DPP? Kwani mashauri atakuwa anaamua sebuleni kwake! Utakuwa utawala wa hovyo sana.

Soma kwanza uelewe alichoeleza mkuu, soma soma soma kwanza kabla ya maoni yako! Labda kama utahitaji ufafanuzi juu ya maelezo yake
 
Kinana anaanza kuwa kama Lusinde,Mwigulu anaacha kufikiri kwa kutumia kichwa
 
Back
Top Bottom