Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 310
hamjitambui, anatumia kutokumfaham kwenu na udhaifu wetu kuwatumia kama daraja la kutimiza yake. Kashakwambia akishinda yy atashugurika na mama lishe na bodaboda je na ww mama lishe au bodaboda? Huyu mtu tapeli hana maono ya kulifikisha taifa hili ktk maendeleo endelevu, akataliwe kwa njia yoyote ile
Kwasababu wewe mchumia tumbo hajataja jina lako basi unajenga chuki...mafuriko hayazuliki kwa mikono #mabadiliko