Lowassa ameathiri familia nyingi kisiasa na kiuchumi. Majibu yake ya "no comment" hayasaidii

Mdakuzi mkuu

JF-Expert Member
Dec 27, 2016
212
719
Ni ukweli usiopingika kwamba, mtikisiko wenye mkito mkubwa ndani ya serikali na CCM kwa ujumla, Lowassa anahusika sana. Kawaponza watu sana.

Nchimbi, Sophia Simba, Msukuma, Gwajima, Bashe, Jerry Slaa, Serukamba, wenyeviti wa CCM kwenye mikoa karibu yote Tanzania nk nk wameathirika kiuchumi, kijamaa na kisiasa. Swala hili liko wazi.

Lowassa huyu, kila anapoulizwa juu ya mnyororo wake kukatwakatwa vipande na watawala waliopo, huwa anapenda sana kujibu "no comment" akimaanisha "sina la kusema". Huna la kusema kwa mantiki gani? Umeumiza familia za watu, umejenga uhasama mkubwa baina ya wanasiasa, watu wamepoteza kazi, vyeo na wengine hatuelewi walipo, unajibu tu sina la kusema.

Busara itumike, sema lolote. Kama ni tamu tutalikamata. Usiwe bubu Lowassa, nena tafadhali baba.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba, mtikisiko wenye mkito mkubwa ndani ya serikali na CCM kwa ujumla, Lowasa anahusika sana. Kawaponza watu sana.

Nchimbi, Sophia Simba, Msukuma, Gwajima, Bashe, Jerry Slaa, Serukamba, wenyeviti wa CCM kwenye mikoa karibu yote Tanzania nk nk wameathirika kiuchumi, kijamaa na kisiasa.Swala hili liko wazi.

Lowasa huyu, kila anapoulizwa juu ya mnyororo wake kukatwakatwa vipande na watawala waliopo, huwa anapenda sana kujibu "no comment" akimaanisha "sina la kusema". Huna la kusema kwa mantiki gani?Umeumiza familia za watu, umejenga uhasama mkubwa baina ya wanasiasa, watu wamepoteza kazi, vyeo na wengine hatuelewi walipo, unajibu tu sina la kusema.

Busara itumike,sema lolote. Kama n tamu tutalikamata. Usiwe bubu Lowasa,nena tafadhari baba.
Ukiambiwa changanya na zako. Usiende kama msafara. Pamoja na hayo lazima watu huwa hawafanani kimawazo na mitazamo. Swala kurudi mezani na kutibu majeraha.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba, mtikisiko wenye mkito mkubwa ndani ya serikali na CCM kwa ujumla, Lowassa anahusika sana. Kawaponza watu sana.

Nchimbi, Sophia Simba, Msukuma, Gwajima, Bashe, Jerry Slaa, Serukamba, wenyeviti wa CCM kwenye mikoa karibu yote Tanzania nk nk wameathirika kiuchumi, kijamaa na kisiasa. Swala hili liko wazi.

Lowassa huyu, kila anapoulizwa juu ya mnyororo wake kukatwakatwa vipande na watawala waliopo, huwa anapenda sana kujibu "no comment" akimaanisha "sina la kusema". Huna la kusema kwa mantiki gani? Umeumiza familia za watu, umejenga uhasama mkubwa baina ya wanasiasa, watu wamepoteza kazi, vyeo na wengine hatuelewi walipo, unajibu tu sina la kusema.

Busara itumike, sema lolote. Kama ni tamu tutalikamata. Usiwe bubu Lowassa, nena tafadhali baba.
Lazima aseme no comment, maana hata yeye mwenyewe keshakatika vipande vipande, nadhani hata akitaka kujiunga hawezi, hata akitumia super glue
 
kwani mkiwafukuza mnatamka kuwa mnafanya hivyo kwa sababu ya ufuasi wao kwa lowassa? lowassa kisiki ndo maana hata makufuli leo kajitutumua kutaka kutaja jina akaishia kusema 'wengine wanaimba tunaimani sijui na nani nani huko'

kweli lowassa mwanaume kama alivyosema Bi Sophia. yaani mwenyekiti wa chama tawala anashindwa kumtaja jina anaishia kusema 'nani nani huko'

 
kwani mkiwafukuza mnatamka kuwa mnafanya hivyo kwa sababu ya ufuasi wao kwa lowassa? lowassa kisiki ndo maana hata makufuli leo kajitutumua kutaka kutaja jina akaishia kusema 'wengine wanaimba tunaimani sijui na nani nani huko'

kweli lowassa mwanaume kama alivyosema Bi Sophia. yaani mwenyekiti wa chama tawala anashindwa kumtaja jina anaishia kusema 'nani nani huko'

umeonaee sema watu hawaelewi
 
Madenge Mwenykt wa CCM Wilaya ya Kinondoni alihongwa Gari Jipya Kabisa kutoka kwa Mtandao wa Lowassa ili asaliti Chama na kweli akafanikiwa Kumsaliti Chama Kinondoni kikaanguka nae Jana Kaangushwa Kama alivyokiangusha CCM
 
Sasa aseme nini? Alishasema JPM hana maono wala busara kwa hiyo yanayoendelea ni mwendelezo wa kukosa maono
 
Ni ukweli usiopingika kwamba, mtikisiko wenye mkito mkubwa ndani ya serikali na CCM kwa ujumla, Lowassa anahusika sana. Kawaponza watu sana.

Nchimbi, Sophia Simba, Msukuma, Gwajima, Bashe, Jerry Slaa, Serukamba, wenyeviti wa CCM kwenye mikoa karibu yote Tanzania nk nk wameathirika kiuchumi, kijamaa na kisiasa. Swala hili liko wazi.

Lowassa huyu, kila anapoulizwa juu ya mnyororo wake kukatwakatwa vipande na watawala waliopo, huwa anapenda sana kujibu "no comment" akimaanisha "sina la kusema". Huna la kusema kwa mantiki gani? Umeumiza familia za watu, umejenga uhasama mkubwa baina ya wanasiasa, watu wamepoteza kazi, vyeo na wengine hatuelewi walipo, unajibu tu sina la kusema.

Busara itumike, sema lolote. Kama ni tamu tutalikamata. Usiwe bubu Lowassa, nena tafadhali baba.
Labda ukoo wenu umeumizwa, Utumbo wenu Sisi hautuhusu, Biashara au Kazi ni yako na ukoo wenu, Propaganda zenu Wananchi hazitusaidia, Umeajiri watu wangapi ? Usihubiri ndoto zako hapa Jf
 
Ni ukweli usiopingika kwamba, mtikisiko wenye mkito mkubwa ndani ya serikali na CCM kwa ujumla, Lowassa anahusika sana. Kawaponza watu sana.

Nchimbi, Sophia Simba, Msukuma, Gwajima, Bashe, Jerry Slaa, Serukamba, wenyeviti wa CCM kwenye mikoa karibu yote Tanzania nk nk wameathirika kiuchumi, kijamaa na kisiasa. Swala hili liko wazi.

Lowassa huyu, kila anapoulizwa juu ya mnyororo wake kukatwakatwa vipande na watawala waliopo, huwa anapenda sana kujibu "no comment" akimaanisha "sina la kusema". Huna la kusema kwa mantiki gani? Umeumiza familia za watu, umejenga uhasama mkubwa baina ya wanasiasa, watu wamepoteza kazi, vyeo na wengine hatuelewi walipo, unajibu tu sina la kusema.

Busara itumike, sema lolote. Kama ni tamu tutalikamata. Usiwe bubu Lowassa, nena tafadhali baba.
Hao wanaoathirika, wapeleke Lawama iende kwa mwenyekiti wao na sio Lowassa.

Manake mwenyekiti ndiye mwenye kuota majinamizi na mang'amung'amu akiamka tu anawaza kutimua wanachama wake.
 
kwani mkiwafukuza mnatamka kuwa mnafanya hivyo kwa sababu ya ufuasi wao kwa lowassa? lowassa kisiki ndo maana hata makufuli leo kajitutumua kutaka kutaja jina akaishia kusema 'wengine wanaimba tunaimani sijui na nani nani huko'

kweli lowassa mwanaume kama alivyosema Bi Sophia. yaani mwenyekiti wa chama tawala anashindwa kumtaja jina anaishia kusema 'nani nani huko'

Sure
 
Back
Top Bottom