We maskini wa fikra ushog umekuathiriWakazi wa Karatu wanajitambua sana, mabadiliko ya kweli yataletwa na Magufuli.
Ulikuwa ni mkutano wa wilaya ambao watu walifurika sana ukawa msidharau kule pia kuna wapiga kura wengi Zaidi ya laki 2
Maskini wa fikra we mtabakiaa kuwa mafal miaka 10000Wamburu wangemtandika viboko huyo, hawana mchezo na wakati wa kuhitaji maendeleo.
Wakazi wa Karatu wanajitambua sana, mabadiliko ya kweli yataletwa na Magufuli.
Kwani uwanja wa Kwaraa uko wapi ww taahira?
Acha matusi jibu hoja
Jembe limeingia kwa mbwembwe na kuunguruma kwa dakika 75
Saa zingine mtub kama huna cha kuandika ni bora ukacheza game kama una uwezo kwa hivyo vyi MB vyako,hivi Lowassa alikuwa na ratiba ya kwenda Karatu?mbona mnawashwa saa zingine sasa Karatu kuna nini wakati ni ngome ya Chadema na kwa taarifa yako wazee wa Karatu walimdharau sana Dr Slaa baada ya kuasi na walimwita shujaa mnafiki.Najua ulikuwa ukimaanisha baada ya Dr Slaa kukimbia Chadema kwa kununuliwa na CCm.Baba subiria campein bado atashuka Karatu Arusha nzima hakuna CCM kaa ukijua hilo.LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??
Mkuu hao watoto wadogo sana yao ni nepi tu, wana post mambo ya kipuz tuSaa zingine mtub kama huna cha kuandika ni bora ukacheza game kama una uwezo kwa hivyo vyi MB vyako,hivi Lowassa alikuwa na ratiba ya kwenda Karatu?mbona mnawashwa saa zingine sasa Karatu kuna nini wakati ni ngome ya Chadema na kwa taarifa yako wazee wa Karatu walimdharau sana Dr Slaa baada ya kuasi na walimwita shujaa mnafiki.Najua ulikuwa ukimaanisha baada ya Dr Slaa kukimbia Chadema kwa kununuliwa na CCm.Baba subiria campein bado atashuka Karatu Arusha nzima hakuna CCM kaa ukijua hilo.
Watu wanamkubali magufuli tu
Kazi mnashikishwa ukut...nyie, hapo yenyewe si ajabu huna ajira ngeke weeeChezea tinga tinga ww, weka mbali na watoto, hapa Kazi Tu