Lowassa alikimbia nini Karatu?

Lowassa alikimbia nini Karatu?

Kama mambo ya washroom yataendelea anaweza kuja kuliaibisha taifa akienda ugenini. Anaweza kuja kualikwa kwenye sherehe muhimu ya taifa la nje halafu mambo ya geita yakatokea. Watanzania wote tutaonekana mazoba kwa kumpatia nafas ya urais. Apumzike tu
 
Duh! Post 60 mnacheka wenyewe kwa kile mlichojitekenya! JF imestoop so low siku hizi!!!!!!
 
Kuna mipampasi ile mikubwaaa,ndo maana magwanda havai
 
Mtoa post hajielewi ama eidha katumwa lumumba
Karatu hawaitaki kabisa ccm na kama hujui karatu ni moja ya sehem halmashauri inaongozwa na upinzani
Ndo mana ushirikiano baina ya mgombea na wananchi leo haukua mzuri kwan ni kikundi kichache sana ndio kilikua kinamshangilia pombe na wengiene walokua wamekula pesa walikua wanamchora tu
 
Kama mambo ya washroom yataendelea anaweza kuja kuliaibisha taifa akienda ugenini. Anaweza kuja kualikwa kwenye sherehe muhimu ya taifa la nje halafu mambo ya geita yakatokea. Watanzania wote tutaonekana mazoba kwa kumpatia nafas ya urais. Apumzike tu
We ma..ku kweli hao wanaokuf El anabakia anadunda tu mtabakia kubwabwaja tu
 
Nipo hapa karatu watu wamesombwa toka juz wameacha maboma wazi...huu ni udhalilishaji
 
Acheni siasa za maji taka!!! Mbona akifika Mto wa Mbu hakwenda Monduli?? Mbona hakwenda Longido na hamuulizi?? Siku ikifika mtamsikia Karatu. Au nyie ndio mnampangia ratiba???
 
Labda alipofika mto wa mbu,alibanwa na haja!so ikabidi awaishwe fasta mjini
 
Lowasa anauwezo wa kwenda popote na mda wowote kama amuamini nyie waathilika wa akili mwambieni katapila lenu liende mbagala kama alijarudi na ngeu
 
Ccm kwa karatu na mkoa wa manyara mnajidanganya! Kama siri hiyo hamjui awaambie jk 2010 kimemtokea nini! Ccm hawawezi kukubalika huko mpaka Tz ipate ukombozi hasa kwa wafanyabiashara ambao wako ccm ili wasilipe kodi
 
Lowasa anauwezo wa kwenda popote na mda wowote kama amuamini nyie waathilika wa akili mwambieni katapila lenu liende mbagala kama alijarudi na ngeu

Umetutukana watu wa mbagala...! Na kws kisa hill umepoteza kura 100 za mgombea kwako. Tahadhari: usitukane tena maana kura zitapatwa na kitu kinaitwa exponential decay..!
 
Back
Top Bottom