JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??
Dk Slaa alisema Lowasa alidriki kuhamisha mpaka wa monduli na karatu, hivyo nafsi ina msuta.