Lowassa alikimbia nini Karatu?

Lowassa alikimbia nini Karatu?

Kwa hiyo kakimbia karatu alafu kaenda kuleta gharika chato.
Hizo ni akili au matopetope
 
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??

Ugonjwa nao unamsumbua sana, alivyomsikia Slaa.
 
Karatu sio kaskazini? Mbona mshasema wenyewe ccm kule hamna au?
 
Kakimbia karatu kutokana na kusikia Jembe la ukweli linapita
 
Huyu mzee anajua anachokifanya aliacha maeneo mengi na akimaliza mikoa ambayo ni bg five kwake anarudi mikoa yote kwenye majimbo ambayo aliyawrka kiporo
 
Nilichokixhuhudia karatu kupitia *tv amini msiamini lazima arusha iparaganyike kwani hawa jamaa watashambulia km vile wako mwanza au dar jipangeni kwani jamaa hatumii chopa kuuzunguka mji ili watu wakusanyike baada ya kuiona yy direct uwanjani na nyomi inakuwepo tu.
 

Attachments

  • 1444069137596.jpg
    1444069137596.jpg
    25.7 KB · Views: 195
Watu wa karatu nyeupe wanaiita nyeupe na nyeusi huiita nyeusi. Mwizi ni mwizi na msafi ni msafi. Wale jamaa sio wanafiki na uzuri wake lowasa wanamjua. Hawadanganyiki
 
Watu wa karatu nyeupe wanaiita nyeupe na nyeusi huiita nyeusi. Mwizi ni mwizi na msafi ni msafi. Wale jamaa sio wanafiki na uzuri wake lowasa wanamjua. Hawadanganyiki

wanakumbuka hela zao za mradi wa maji alizozipiga ndio maana hakwenda kaogopa kurushiwa mawe
 
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??

Karatu ni himaya ya Dr.Slaa
 
Back
Top Bottom