Lowassa alikimbia nini Karatu?

Lowassa alikimbia nini Karatu?

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??
 
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??

Ogopa katapila, Jembe linakata kila kona.
 
Hahahaha aliogopa fimbo za masai walee,wangemtandikajee
 
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??

Aliogopa zomeazomea huyo
 
Kamuulize mwenye sasa sisi tulikuwepo au umekosa cha kuandika, sasa Karutu kuna nini hasa wewe cha kumuogopesha! au huu ndiyo umbea ukute na wewe ni mwanaume eti! Ukue acha umbea mwanaume anajistahi kidogo ili afanane na wenzie.
 
Jembe limeingia kwa mbwembwe na kuunguruma kwa dakika 75
 
LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??

Ogopa Magufuli, huyo mzee asingepata wafuasi.
 

Attachments

  • IMG-20151005-WA0037.jpg
    IMG-20151005-WA0037.jpg
    39.4 KB · Views: 777
Wakazi wa Karatu wanajitambua sana, mabadiliko ya kweli yataletwa na Magufuli.
 
Wasn't planned, alikuwa na mikutano mingi zaidi.
 
Back
Top Bottom