Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 833
Halafu kinachonifurahisha kwa sasa Mh. Lowassa anaonekana mwenye afya njema na maCCM hayana tena cha kuzungumza na push up yamepunguza baada ya kuona hazilipi tena.
Ni kweli kabisa mkuu, binafsi namkubali na nafikiri kwa yaliyomkuta ya kutukanwa na akina Nape Ritz1 na bado mzee hajapata pressure basi namwita stress proof character.