Lowassa ajipanga kuihama CHADEMA

Lowassa ajipanga kuihama CHADEMA

Hii habari zuri kwa sisi hapa Ufipa maana inaonyesha nia yake ya kuongeza chuki ndani ya CHADEMA imefanikiwa.

Ila kwa taarifa zake ni kuwa, sisi wanaCHADEMA hatutarudi nyuma kujenga na kutetea maslahi yetu.
 
Mbona mnateseka sana Na Lowassa? Mwacheni kamanda hana ujinga huo
 
Hahahahahaaaaa! Hizi hasira zitawaisha tu. CCM itaendelea kutawala milele
Kama una uhakika na kutawala milele basi utakuwa mwizi wa kura. Kwa sababu ni mwizi wa kura tu ndiye anakuwa na uhakika huo.
 
umen
Mulugo amewaharibu sana vijana wa lumumba
Hivi wewe upo UVCCM ipi?kati ya hizi
1:UVCCM imani
2:UVCCM maslahi
3:UVCCM wazalendo
4:UVCCM mbumbumbu?
umenikumbusha ile issue ya huyu waziri wa JK,eti Tanzania inapakana na msumbiji upande wa mashariki na kusini imepakana na zanzibar,daah! sijui ile ilikuwa shisha ama kitu gani!
 
KITENGO CHA PROPAGANDA CHA CCM,CHA CHACHAMALIA MAMBO YASIYOWEZEKANA...
Mara mnyika,sasa lowassa baadae nani?
kwani kwa Dr Slaa ilikuwaje. ilikuwa amini amini usiamini.mara ikawa kweli. makamanda walificha ficha weeeee maana ilikuwa aibu na pigo kwa ukawa. lakini wapiiii Dr Slaa akatimka na Lipumba
 
Huyu mwamba wa Kaskazini nakumbuka ndo alipunguza ruzuku ya Magamba na kuwaongezea CHADEMA waliopata 40%, huku Magamba yenyewe yakiwa na 58% ambayo imeweka rekodi mbaya kwa chama hicho toka pale Tanzania ilipopata uhuru. Kamwe Magamba hawatamsahau huyu jamaa.
Tena Hii ni Baada ya kuchakata na kuchakachua.
 
Back
Top Bottom