Lowassa ajipanga kuihama CHADEMA

Lowassa ajipanga kuihama CHADEMA

Huyu mwamba wa Kaskazini nakumbuka ndo alipunguza ruzuku ya Magamba na kuwaongezea CHADEMA waliopata 40%, huku Magamba yenyewe yakiwa na 58% ambayo imeweka rekodi mbaya kwa chama hicho toka pale Tanzania ilipopata uhuru. Kamwe Magamba hawatamsahau huyu jamaa.
Magamba kamwe hawata msahau lowasa maishani mwao
 
Mtu mwenye kumuunga mkono Lowasa inabidi akapimwe akili- Msigwa....
FB_IMG_1466061082288.jpg
 
Mulugo amewaharibu sana vijana wa lumumba
Hivi wewe upo uvccm ipi?kati ya hizi
1:uvccm imani
2:uvccm maslahi
3:uvccm wazalendo
4:uvccm mbumbumbu?
Nataka kujua wewe unaesema Lowassa hawezi kuzuiliwa kwenda CCM kisa ni chama cha majipu, tuthibitishie na wewe unakubali Lowassa ni jipu?
 
Kuna mtu alisema kuwa UDP na yule Medeye kaenda kumuandalia njia.......tusubiri kama ni kweli.
 
Kama watabiri walivyosema anafuata nyao za mrema,toka NCCR kwenda TLP mwisho chaliiiiii!!
 
Ni ushauri tu kwa Lowassa. Ahamie UDP then akiimarishe na wakati huo huo akikiimarisha chadema gizani. Mwaka 2019 UDP na Chadema viungane. Lakini pia maDC waliotemwa ni mtaji mzuri maana wana hasira iwakayo Moto na serikali ya "Kagame" hivyo 2020 wanaweza kabisa kumng'oa JPM kirahisi.
 
Mafisiemu yana mimba ya Lowasa kila mtoto akicheza tumboni lazima yamataje, hivi hamna kazi za kufanya , kutwa nzima usiku kucha mnamtaja yeye tu ilhali yeye hawajibuni hivi hamjui kuwa amewadharau kupita maelezo?
 
Mafisiemu yana mimba ya Lowasa kila mtoto akicheza tumboni lazima yamataje, hivi hamna kazi za kufanya , kutwa nzima usiku kucha mnamtaja yeye tu ilhali yeye hawajibuni hivi hamjui kuwa amewadharau kupita maelezo?
Acha aendelee kutudharau lakini misumari hatutaacha kumpigilia, ametuibia sana. Mbona siku zile pesa hazimwagi tena kwenye majumba ya ibada?
 
Nayo magazeti yamekuwa kama UDAKU sasa
Hata yalipoandika kuhusu Dr. Slaa kuondoka Chadema yaliitwa hivyohivyo kuwa ni ya UDAKU huku Chadema wenyewe WAKITUDAKUZA kuwa Dr. Yuko likizo.
 
Lumumba Light/STOMACH THINKERS na magazeti yao ya kufungia maandazi watakuja kesho na Bridal Mask kuhama UKAWA?
 
Back
Top Bottom