Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Magamba kamwe hawata msahau lowasa maishani mwaoHuyu mwamba wa Kaskazini nakumbuka ndo alipunguza ruzuku ya Magamba na kuwaongezea CHADEMA waliopata 40%, huku Magamba yenyewe yakiwa na 58% ambayo imeweka rekodi mbaya kwa chama hicho toka pale Tanzania ilipopata uhuru. Kamwe Magamba hawatamsahau huyu jamaa.