Kabisa kabisa, nashangaa Man.y.umbu yanapagawa wakati leo akitangaza kuhama wata-rewind ule mkanda wa UFISADI wake kwenye mikutano ya kisiasa.Ni haki yake ya kikatiba.
UKAWA wa ajabu sana, wanang'aka kuona habari hizi wakati akihama kweli wataanza kunogesha Ufisadi wake zaidi.Hapa kazi tu, tunajua mnaumia sana kuona jpm anang'ara kila pande mnatamani apate kashfa ili mpate pakusemea, imekula kwenu ukawa kama mlishindwa mwaka jana hamtaweza tena hadi kizazi chetu kitaisha ccm ndiyo baba lenu.
Kashfa apate mara ngapi 'mtukufu' wako?Hapa kazi tu, tunajua mnaumia sana kuona jpm anang'ara kila pande mnatamani apate kashfa ili mpate pakusemea, imekula kwenu ukawa kama mlishindwa mwaka jana hamtaweza tena hadi kizazi chetu kitaisha ccm ndiyo baba lenu.
ccm hatuna kumbukumbu zake.
Asanteahene Lubuva mamamaye mlikuwa mmekalishwa! Kwa ufupi hamtamsahau!ccm hatuna kumbukumbu zake.