jamani lowassa akiwa pm tuliona jinsi watumishi wa serekali walikuwa na hoga na yeye alikuwa akifanya kazi kwa lengo la kutaka kufanikiwa na kufika sehemu,leo hii hakuna dira wala malengo,zaidi ya mambo ya uzushu kama kujivua gamba,hii itasaidiaje watanzania maskini
laiti lowassa asingejihuzullu leo tungekuwa hadi viwanda vimefufuliwa ,hata uchumi usingeporomoka hivi maanake hasingejali kuchukua maamizi magumu kuleta magenereta potele mbali hata kama angeundiwa zengwe la richmond namba 2
laiti lowassa asingejihuzullu leo tungekuwa hadi viwanda vimefufuliwa ,hata uchumi usingeporomoka hivi maanake hasingejali kuchukua maamizi magumu kuleta magenereta potele mbali hata kama angeundiwa zengwe la richmond namba 2