Lowassa aikacha Karatu

Lowassa aikacha Karatu

mafundisho

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
388
Reaction score
136
LOWASA AIKACHA KARATU:

Leo mgombea urais wa UKAWA Bw.Lowassa aliwatosa wakazi wa Karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika.

Lowassa aliweza kuhutubia Mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na Karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari.

Upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa Karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!

Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za Karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!
 
Huyo hawezi karatu, ngome ya Slaa pale,hawana utani wanainchi wa karatu
 
Unataka ukawa wafanye kampeni vile unavyotaka wewe, kampeni ni mipango ndo maana zikaitwa kampeni siyo unajiendea tu bora liende kama mgombea wa chama flani
 
Weee,aende kwani hajipendi,na kule kuongea kwake kama anatafuna mua si ndo mdomo ungekuwa zege kabisa
 
Unataka ukawa wafanye kampeni vile unavyotaka wewe, kampeni ni mipango ndo maana zikaitwa kampeni siyo unajiendea tu bora liende kama mgombea wa chama flani

Karatu mdomo ungekuwa zege tupu.
 
LOWASA AIKACHA KARATU:
Leo mgombea urais wa ukawa Bw.Lowasa aliwatosa wakaz wa karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika,Lowasa aliweza kuhutubia mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari,upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!

Labda ratiba yako ndio inasema alikuwa aje Karatu.... Ila kama una ratiba sahihi hii post yako ni ya ovyo
 
Labda ratiba yako ndio inasema alikuwa aje Karatu.... Ila kama una ratiba sahihi hii post yako ni ya ovyo

Bora Ocampo four uwaelezee. .

Hawa jamaa wamezidi.Hata kama ni kumfurahisha boss kwa idadi ya post, this is too much. ...
 
Last edited by a moderator:
LOWASA AIKACHA KARATU:
Leo mgombea urais wa ukawa Bw.Lowasa aliwatosa wakaz wa karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika,Lowasa aliweza kuhutubia mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari,upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!
Fisadi huyo anaujua mziki wa karatu
 
Kikwete alimuuliza Magufuli vipi kampeni za mwaka huu? Magufuli akasema Acha Uhuni Wako, umeua Chama uliwadanganya Wananchi, Walimu na Vijana, Ajira hakuna,na kuwaambia Maisha bora kwa kila Mtanzania, Ona sasa unavyonipa shida mpaka napiga Pushapu Majukwaani kama hali itakuwa ahueni, lakini Wananchi bado hawanisikii wala hawanielewi.
 
LOWASA AIKACHA KARATU:
Leo mgombea urais wa ukawa Bw.Lowasa aliwatosa wakaz wa karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika,Lowasa aliweza kuhutubia mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari,upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!

umetimuliwa KULE NA VITU VYA KUTUNGA UMEKUJA HUKU SASA WW NADHANI UNAAMINI KATIKA UONGO ,HUO NI UGONJWA MBAYA SANA NA TENA KAMA UNA MKE NA WATOTO AU MTOTO HATARI KUBWA TUPE USHAHIDI WA UNAYO SEMA UKISHINDWA NAWEKA MM NA UJIONDOE KATIKA JUKWAA LA SIASA HATUHITAJI SIASA NYEPESI SASA
 
Back
Top Bottom