Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Karatu hawataki ujinga kabxa, wanamisimamo co kam viongoz wa chama fulan wanaoramba matapishi yao wenyew
Kwa taarifa yenu ccm karatu hawatoboi na diwani wala mbunge
Karatu hawataki ujinga kabxa, wanamisimamo co kam viongoz wa chama fulan wanaoramba matapishi yao wenyew
Atafia magogoni pigeni mpoyoyo
Kwa hiyo unataka afanye kampen maeneo kum kwa cku.Leo kahutubia maeneo manne au ulitaka lazima aende karatu
Acha kiherehere we kenge
Jana alikuwa kawe, leo babati, hizi kampeni za chopa mbona ka utalii wa ndani? Hapo mvua hazijaanza kunyesha anatupungia akiwa angani, mwaka huu kazi tunayo.
Soma ratiba ya ukawa vizuri, wapo strategic! Unataka kutuaminisha pia kuwa duka mbovu, arusha mjini, ngaramtoni, usa river alipopita bila kufanya kampeni ni ngome ya silaa? .hii ni strategic battle, 3 combination 3, 4x2, 1x2x3.....
Hivi ile meli ya kinanaa iliyokamatwa na meno ya tembo ikisharudishwa tanzania?
Labda ikulu ya msoga, lkn ikulu ya magogoni ni lowasa
Hizo n propaganda tu
Labda kama unazungumzia ile gari aliyokamatwa nayo sumaye ameshen meno ya temb0 hukp ulanga?
Mmawia sio lazima uquote kila post
Najua unataka uonekane unafanya kaz uliyotumwa na hemmedy
Mratibu wenu wa 4u mvt
Maana unaongea ----- tu
Bora hata ungekuwa unajibu kwa hoja nzito
Pole sana dada
Karatu ndiyo wapi wale wote ni ukawa Kama wako wanamtaka silaha wameshachelewa wamfwate Dar kumbuka Chama ni cha wana chi sio Silaa jamani
Inaonyesha ni jinsi gani kuwa wewe unacho andika humu jf unaandaliwa na lumumba maana hata hujui nini kinaendelea duniani
Naweza nikawa sijui ndio
Ila suala la sumaye kudhurum mashamba mvomero
Na kilombero
Na ufisad mkubwa kuwahi kutokea ule wa lowasa wa mwaka 2008
Haya sitoyasahau
Lakin kubwa kabisa liliko kichwan 24/7 ni lile tukio la geita la lowasa kujinyea
Asee
Nakushukuru kwa kutuwekea ushahidi mzuri sana husiyo na shaka ktk kile kinacho onekana kudhalilisha viongozi wa kisiasa, msije mkajidanganya kwa kutumia hizo fake IDs hamtapatikana
Nusu saa karatu hadi mondulii???
LOWASA AIKACHA KARATU:
Leo mgombea urais wa UKAWA Bw.Lowassa aliwatosa wakazi wa Karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika.
Lowassa aliweza kuhutubia Mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na Karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari.
Upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa Karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!
Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za Karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!
Fisadi huyo anaujua mziki wa karatu