Weee,aende kwani hajipendi,na kule kuongea kwake kama anatafuna mua si ndo mdomo ungekuwa zege kabisa
Mbunge wa pale ni wa ukawa siyo Slaa.
Lowasa anafanya utalii wa ndani sio Kampeni
leo ilikua
mto wa mbu
mangola
babati
Lowasa anakujua wewe. # hapa ni kazi tu. Tazama lowasa anachukia umaskini na jimboni kwake je? fake design.
LOWASA AIKACHA KARATU:
Leo mgombea urais wa ukawa Bw.Lowasa aliwatosa wakaz wa karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika,Lowasa aliweza kuhutubia mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari,upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!
Mziki wa Karatu anautambua
Kikwete alimuuliza Magufuli vipi kampeni za mwaka huu? Magufuli akasema Acha Uhuni Wako, umeua Chama uliwadanganya Wananchi, Walimu na Vijana, Ajira hakuna,na kuwaambia Maisha bora kwa kila Mtanzania, Ona sasa unavyonipa shida mpaka napiga Pushapu Majukwaani kama hali itakuwa ahueni, lakini Wananchi bado hawanisikii wala hawanielewi.
Fisadi huyo anaujua mziki wa karatu
Naona mnaandika na kujijibu wenyewe. ....
Mmeshikwa pabaya. ...
Akikanyaga karatu wanamla kichwa walah
Ni sawa na sumaye kukanyaga kilombero alikoiba mashamba
Au ulanga alikokamatwa na meno ya tembo
Akikanyaga karatu wanamla kichwa walah
Ni sawa na sumaye kukanyaga kilombero alikoiba mashamba
Au ulanga alikokamatwa na meno ya tembo
Umelipwa 20,000 yako ya kuzimia kwenye mikutano ya lowasa?
Una week tatu tu za ajira
Huyu mzee hana kumbukumbu
Ni lin lowasa amefuata ratiba?
Juz alikuwa manyara
Jana dar
Leo mto wa mbu
Anarukaruka tu
Ndo kutapatapa kwenyew huko tunakokusemea.
Viva magufuli viva
Naiona njia ya magufuli kuingia ikulu ikizidi kuwa nyeupeeeeeeee
Acha kihere here wewe utaolewa wewe kampeni zinafuata ratiba ya tume ya uchaguzi watu hawafanyi kampeni kwa kukurupuka angalia ratiba ya UKAWA wewe ssm fisiem siyo unaropoka tu kama ngedere jike