Lowassa aikacha Karatu

Lowassa aikacha Karatu

Turudishieni kwanza umeme ndio tujadili hoja zenu you idiot
 
Karatu wanajielewa sana saiv kura zote wamesema ni kwa CCM
 
propaganda season kamanda...hata ratiba yetu hawana..... They just rely on prediction.

Leo ilikuwa zamu ya babati but those propagandists wamefunga macho na akili iko locked ki-ccm.
mgombea wao anazomewa mbeya iyunga wanasema anashangikiwa hawa jamaa wana weza vunja record ulimwenguni kwa kuto kuelewa vitu au kwa kuelewa kinyume vitu
hata ratiba ya ccm hawaijui ya ukawa mtaijulia wapi???
 
LOWASA AIKACHA KARATU:

Leo mgombea urais wa UKAWA Bw.Lowassa aliwatosa wakazi wa Karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika.

Lowassa aliweza kuhutubia Mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na Karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari.

Upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa Karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!

Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za Karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!


Hiyo opinion yako atarudi huko tena

Tatizo lenu ninyi magamba mna akili zinazo fanana wote
 
Karatu Ccm imepita tayari, October 25 ni kwenda tu kutekeleza wajibu wa kikatiba
 
mafundisho upekupeku uliofanyika kisayansi kwa kuulizia ratiba ya kampeni unasema Lowassa hakuwa na ratiba ya karatu jana bali atakwenda siku ratiba yake ikifikia. huo urongo wako wadanganye mafisiemu wenzako
LOWASA AIKACHA KARATU:

Leo mgombea urais wa UKAWA Bw.Lowassa aliwatosa wakazi wa Karatu kwa kushindwa kwenda kufanya mkutano huko licha ya maandalizi yalikuwa yalishafanyika.

Lowassa aliweza kuhutubia Mto wa mbu leo ambapo eneo hilo na Karatu ni mwendo wa nusu saa tu kwa gari.

Upekupeku uliofanyika umeelezwa kuwa jamaa aliingia mitini kwani wananchi wa Karatu walijiandaa kumzomea kwa nguvu zote kwani huko ndiko anakotoka Dr Slaa!

Kutokwenda kwake ni wazi kuwa kura za Karatu mhe huyu amezitoa sadaka kwa CCM!
 
Back
Top Bottom