as that of your parents...
Wewe ni stupid just like others.Akufahamu wewe ili iweje.Unamtisha?
Kutwa nzima kushinda mitandaoni kuandika upuuzi.
A.s.s.h.o.le!!!
hahah lkn per diem ya buku 7 kwa siku ni nyingi sana kwako sio ?Ugekuwa unanifahamu usingeandika ujinga kama huu, Ukuu wa wilaya ni cheo cha kitoto sana kwangu!
Sasa naanza pata picha, kwanini Mh. Lowasa anapingwa sana? Anapingwa na wale walioko madarakani tu, ni yeye anaeujua huu mfumo na akiingia atafumuafumua, kuanzia walikukwapua pesa kupitia STANBIC. Pap na vinyamkela vinavyofanana na huo uwozo.
Team Lowasa itashinda na wananchi washajua ukweli, tuko pamoja kamanda, wewe ndio mtetezi na utatusaidia watanzania kutegua vitendawili vingi vinavyoendelea bila majibu.
Kweli kabisa mkuu, kuna wapumbavu wanataka kusafiria nyota ya LOWASSA.
Duh unatumiwa vibaya Leo unamtetea mwinzi mwenzako LowassaKamuibia nani?