Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowasa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowasa na hilo eneo wametumwa na Lowasa kubomoa nyumba
Source:ITV
Hivi kwanini Lowasa ana tamaa hivi?, hivi pesa zote alizoiba hajatosha tu
Kamuibia nani?
Katuibia Watanzania wote, ndio hizo pesa anazohonga Makanisani. Sasa anadhulumu watu nyumba
Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowasa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowasa, wametumwa na Lowasa kubomoa hiyo nyumba
Source:ITV
Taarifa hii hata mimi nimeiona.Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowasa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowasa, wametumwa na Lowasa kubomoa hiyo nyumba
Source:ITV
BASHE katoa ufafanuzi mzuri sana.
Umekoswa mkuu wa wilaya kweli wewe ni buku 7.
Swissme
Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowasa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowasa, wametumwa na Lowasa kubomoa hiyo nyumba
Source:ITV
Msemaji wa Lowassa ndie huyo Hussien Bashe?
BASHE katoa ufafanuzi mzuri sana.
Lowasa motonwa kuotea mbali naona wanazidi kumuundia zengwe
Uwezo wa Bashe ni mkubwa sana.... Na kama kutakuwa na ambaye hajamuelewa basi atakuwa na matatizo ya akili....
Hizi Ni dalili za kushindwa kwa wapinzani WA Lowassa.
cc: Joka la Mdimu
Ukichaa ndio unakuanza, unaaminishwa maneno ya kijinga na wahuni na wewe unaingia mkenge! mjinga sana wewe!