Lowassa ahusishwa na Utapeli wa Nyumba Tegeta

Lowassa ahusishwa na Utapeli wa Nyumba Tegeta

Wana poteza mda MTU
Mzee Wa mamvi ni shida wakuu jembe lile
 
Lowassa tamaa itamuua kumbe hata kwenye utapeli yumo :🙂
 
Itakuwa kweli. Lowasa ni haramia. Aliifilisi nchi kwa kutumia Richmond ambayo alijua haikuwa na uwezo wowote kweli atashindwa kuhujumu mtu binafsi?
Jambazi ni jambazi tu na sasa ananunua urais kwa gharama yoyote haramu na kwa ujinga watz wamesahau kuwa lowasa ni kibaka
 
Itakuwa kweli. Lowasa ni haramia. Aliifilisi nchi kwa kutumia Richmond ambayo alijua haikuwa na uwezo wowote kweli atashindwa kuhujumu mtu binafsi?
Jambazi ni jambazi tu na sasa ananunua urais kwa gharama yoyote haramu na kwa ujinga watz wamesahau kuwa lowasa ni kibaka

alianza na richmonda sasa hv ameamua kuhamia kwenye viwanja vya watu
 
Siasa! Mchezo mbaya sana, kuchafuana kama great thinker, changanya akili ya kuambiwa,kusoma,kuona+akili yako. Mmeanza siasa za kuchafuana! Mzee wa watu maskini kakaa kimyaa!, mm nimeiona hii habari itv, iangalie kwa umakini ni kama filamu ya amboni! Shit!
 
Na hawatafanikiwa hata kwa dawa..... Kwa sasa Lowassa yuko mkono wa kulia wa Bwana

mkuu nakuona una imani kweli na Lowasa lakini mimi kwa mtazamo wangu naona kama unatembea na bata ambaye hauziki kirahisi .samahani lakini huo ni mtazamo wangu kutokana na observation yangu
 
Siasa! Mchezo mbaya sana, kuchafuana kama great thinker, changanya akili ya kuambiwa,kusoma,kuona+akili yako. Mmeanza siasa za kuchafuana! Mzee wa watu maskini kakaa kimyaa!, mm nimeiona hii habari itv, iangalie kwa umakini ni kama filamu ya amboni! Shit!
Hivi kwa mfano umekuja kujua habari hii ni kweli utafanyaje , usimwamini mwanaccm yeyote .
 
Katika hili tukio nimejifunza jambo kubwa sana,sehemu ikiwa na uongozi makini unaosimamia haki maamuzi ya kipumbavu hayapati nafasi.
 
je lile katapila ni la nani? wangelichoma moto tu ili iwe fundisho kwa makanjanja wa siasa za maji taka.
 
Back
Top Bottom