Lowassa ahusishwa na Utapeli wa Nyumba Tegeta

Lowassa ahusishwa na Utapeli wa Nyumba Tegeta

Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowassa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowassa, wametumwa na Lowassa kubomoa hiyo nyumba
Hii ndiyo picha halisi tulipofikia. utawala wa sheria unawekwa kando kilicho baki niutawala wa wenye nguvu. unaweza kuona mtu anafanya jambo baya kabisa la uvunjifu wa sheria, kwa kisingizio cha "unajua mi ni nani? au unajua mie mtoto wa nani? n,k". na akishataja yeye ni mkubwa fulani au ana uhusiano na mkubwa fulani, sheria hufyata mkia. hiyo ndiyo sababu na hao wanaosemekana kuwa ni wahuni wa mjini kwa mjibu wa ndg.Bashe, waliona watumie hilo jina la Ndg Lowassa ili waogopwe, na hatimaye wafanikishe hila zao. Watanzania amkeni kukataa tabia hii. sheria na utaratibu wa kistaarabu utumike msikubali kkuteswa na majina kama walivyo fanya watu wa tegeta. nawashukuru sana.
 
kama umezoea kunyonga utanyonga tu,kwa hiyo huo utapeli lazima Lowasa kahusika kwani hata kile kijiko kilichokuja kufanya kazi ya kubomoa kinamilikiwa na shemeji yake mwenye kampuni ya ukandarasi na anafanya kazi TRA
 
LawrenceNkobeTheJembezLaUkweliAmbaloHalitikisiki... Like father like son..
 
Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowassa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowassa, wametumwa na Lowassa kubomoa hiyo nyumba

Source: ITV
Lowassa hawezi kutuma mtu kubomoa nyumba... sio mjinga kiasi hicho
 
Yaan mtu mwenye akili hawezi hata kuamini ulichoandika maana ukweli uko mbali. .ila mtu mwenye upeo anakukumbusha kuwa kuzua kukizidi utajizulia mwenyewe. ..
 
Umekosa cha kuandka ww ..sijui una umri wa miaka mingap kama litoto hili... Hivi huyu lowasa mbona mnashadadia sana mnampenda eeh?
 
Sasa lowassa atawatuma wabomoe nyumba yeye kama nani huoni kama ni namna ya kumchafua kisiasa mm naona mtu ukitaka kuandika jambo kwenye media walau upime hata kama umeambiwa changanya na akili zako hilo hapana tafuteni lingine
 
Mipango yenu y kumchafua imekwama jipangen upya,w ulio post ujinga wako unadhan utatuvuta kishamba,watanzania sasa wako makini sana hawadanganyki kwa siasa zenu za kipumbav,kwa sasa nchi inahitaji mtu mwenye maamuz tena magumu kama Lowasa
 
Hiyo issue ni ya miaka kama kumi iliyopita na kiwanja alitapeliwa mke wa Lowassa na wakaachana nacho.TEN YEARS BACK.huyo anayejifanya dada wa Lowassa na lile TINGATINGA nikimaanisha dereva wake watasema aliye watuma na hapo ndipo cinema itakapoanza.Kweli anamapungufu yake kama binadamu wengine,lakini ktk hili la uraisi ni Right Candidate kutoka CCM.Upinzani wako vizuri na hofu yao ni Lowassa tu.Nape itakubidi utumie dodoki kama ulikuwa una maana huyu bwana ni mchafu.Siko team Lowassa lakini he is powerful kuanzia shule Arusha sec.
 
Watu waliojitambulisha kuwa wana uhusiano na Lowassa, wamevamia nyumba ya mtu Tegeta na kutaka kuibomoa. Baada ya kufuatiliwa, mwanamke mmoja amesema kuwa ni ndugu wa Lowassa, wametumwa na Lowassa kubomoa hiyo nyumba

Source: ITV

Uwe unaongeza na akili zako wewe.. Upuuzi gani huu umetuandikia humu ndani..
 
mkuu nakuona una imani kweli na Lowasa lakini mimi kwa mtazamo wangu naona kama unatembea na bata ambaye hauziki kirahisi .samahani lakini huo ni mtazamo wangu kutokana na observation yangu

Imani yake ni kuona nchi imetapa kiongozi bora atakae tuvusha hapa tulipo.
 
Katika hali ya kutia wasiwasi na kushangaza msomali husen bashe jana nilimwona akiongea kama msemaji wa edward lowasa kuhusu sakata la ubomoaji wa nyumba kwa kutumia jina la Lowassa.

Kwa mtakaokumbuka huyu Bashe alikuwa msemaji wa Rostam na pia msimamizi wa magazeti ya Rostam, sasa baada ya Rostam kukimbia nchi baada ya kashfa kibao na watu kuabiri kuwa Rostam aliuweka uongozi wa Kikwete; Je, ni mkakati wa Rostam wa kuendelea kuitawala nchi hii kwa remote?

Je, kama jibu ni ndio ni nini mustakabali wa nchi hii kama lengo la Rostam litatimia?

Unatokwa na povu kwa usicho kijua nyuma ya Lowassa ni Tanzania mbele ya Lowassa ni mabadiliko , Bash his smart na ni kiungo cha mabadiliko ambayo watanzania tunayahitaji
 
Huyo bwana ni mwizi tokea enzi za Mwl. Nyerere
 
Umesahau alikuwa atuletee "Mvua ya kutengeneza". Ngoja arudi tena kama hatotuletea jua la kutengeneza.


Sijahaminishwa, nimeona mwenyewe anavyogawa pesa, pia nimeshuhudia akiwa waziri mkuu nchi iliingia mkataba wa kishenzi wa Richmond
 
Back
Top Bottom