Mkuu para ya Mwisho ina Maoni yako ambayo si sahihi, yanathibitisha kuwa hujui hata Mfumo wa Uchaguzi wa CCM acheni kubuni Tuhuma zisizo na Msingi mnaweza kuhatarisha Maisha ya Watu wasio na Hatia.
Mbona unazungumza kama na wewe ni TISS?
EL ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, hivyo TISS iko chini yake unless ni covert oparation kama walivyonfix Imran Kombe!.
Tatizo letu ndio hilo kamanda... Kwasababi yeye tiss basi anaona wote tissmbona na wewe umeng'aka kama TISS au mmekutana humu?
anatafuta huruma za wabongo....hiyo ni straregy tu kwa wenye akili tunajua,nani atamuua huko uwt wakati wapambe wake hapa kutwa wanatuaminisha usalama wa taifa wanamuunga mkono yeye?
bbaaaaaaassss!Ooh Boy.. nadhani tumuunge mkono Lowassa awe chaguo la CCM ili yaishe.
Post ya Pasco hii hapa chini sijui hata kama inaelekea ulivyomuuliza mambo ya percentage, hivi wewe tukikuuliza una percentage ngapi ya kuuawa utatuambiaje.Mkuu let me be clear
ukisoma post ya pasco amepost kama vile tayari anajua likelihood ya jamaa kuuwawa au la, and that ahs been our weakness as JF members we usually throw some tokens of ideas and runa away from them when asked to justify... unaporejea post ya pasco na jitahidi sana kunielewa natafuta nini
it would have been easier kusema hivi: nijuavyo mimi uwezekano wa kuuwawa lowassa upo au haupo na ni xxx.
EL ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, hivyo TISS iko chini yake unless ni covert oparation kama walivyonfix Imran Kombe!.
Nape ndio kaharibu kabisa hivi CCM hainaga washauri huko ndani maana kujibu kwake ni kama anaongeza mafuta kwenye moto.chanzo cha habari hii ni gazetila Dira ya Mtanzania, inadai CCM wananjama za kummua Lowasa
walidokezewa na Fred Lowasa, mtoto wa mjini huyu(itakuwa kweli)
mzee wa visasi,ama wafuasi wake wamekerwa na kuvuliwa nguo na E.L kuhusu Richmond
aidha Katibu Mwenezi wa ccm(Nape) amekanusha akidai chama chao hakijawahi nahakitafanya hilo
pia amesisitiza TISS haipo chini ya ccm, hivyo hawana mandate ya kutoa orderhata kama wangekua waovu
mm asijekuwa uyu mtoto wa fisadi el alikuwa ameshafakamia mibiere ndo akaanza kuongea mipwenti kwa msaada wa chichanimeon hii habari kwenye gazeti la dira sikumbuki tarehe ila wanadai fred ali kuwa kwenye bar/hoteli arusha akamwona jamaa watiss akamfata na kuanza kumpa shit kwamba hakutegemea mtu kama yeye wanafahamiana vile halafu na yeye anakuwemo kwenye ishu kama hiyo yule jamaa akaita polisi wakamchukua fred mpaka kituoni alipofika wakamwambia aandike statement akagoma nakuanza kulia kwa sana sijui kwa kumuogipa wakamwambia ajidhamini aje kesho pombe ikisha jamaa akaondoka akazima na simu akarudi dar kimya kimya kwa kifupi ndo hivyo
Wakuu heshima mbele, kwenye magazeti ya leo imefahamika kuwa Fredrick Lowassa mtoto mkubwa wa EL amereport kuwa UWT wana mpango wa kumuua baba yake kwa kile ambacho hakijawekwa bayana!
Kama ada wanajamvi kwa weledi, tunapenda kujua kimetokea nini ghafla hivyo au ni kujihami baada kushukiwa na kuwalisha sumu baadhi ya wapambanaji wa ufisadi?
Nawasilisha