Lowassa aache uchonganishi, hakuna njaa nchini

Tanzania HAINA JANGA LA NJAA WANASIASA WACHACHE WANATAKA KUHARIBU NCHI YETU,,,tujiulize NI MAMLAKA GANI IMEWAPA HAO WANAOTANGAZA JANGA LA NJAA UWEZO WA KUTANGAZA TATIZO HILO???
 
Sasa kama aliwadhurumu wananchi kama unavyosema.kwanini wananchi wasipokee chakula kilichotokana na mali zao!?
 
Wachungaji, Baadhi ya Ma-DC, Masheikh, Magazeti na TV zote hizo huajziona/hujaviona umemuona Lowasa tu?? Una lako jambo, by the way, Njaa ni kama Mimba, haifichiki.
 
watu wanashindwa kuelewa kua lowasa in mwananchi kama wengine. anaposema ana njaa in kwenye kaya yake. so sioni cha kumlaumu. sasa Mimi nikisema kuna njaa unaniitaje mchonganishi?. kwani unanilisha.
na nikifanya juhudi kuwaunganisha wenye njaa kama Mimi kuna kosa gani?
 
Maelezo yako meengi lkn nimeambulia patupu sijui kiswahili hukusoma?
 
Nashangaa wenye njaa wanalia njaa! Lakini wanaoshiba kwa kuwakamua wenye njaa wanapinga hakuna njaa.
 
Ukiamka tumbo linakuuma kaa karibu na choo na sio kukimbilia simu na kuwasha data ni lazima uishie kuandika mboji ya binadam nyambafu! Hivi kama njaa hakuna mnahangaikia nini? Kwann wàtato wa loumoumba mkitoka msalani hata hamjasafisha vizur hayo maeneo ya opposite of mauthi mnakimbilia kupinga kwamba hakuna njaa? Hivi mnapajua shinyanga na Simiyu au ninyi ni wa pwani hamjatembea tz main land? Na kwa taarifa yenu mtaisoma maana kila mkulu akifanya ziara hasa kwenye majanga mjipange kutetea alichosema na mkishindwa mtaishia kutuambia alikuwa anatania! Na nimjuavyo lowassa kuhusu njaa na mnavyokuja kwa kubwata kama mpo kwenye foleni ya vyoo vya stand ya ubungo hakika atawanyoosha tena yeye akitumia maneno mawili huko kwenu mtaandika kurasa za kutosha na hiki ndo kipimo kwamba ssm mlifikiria au mlifikirishwa kumteua huyu kugombea uprezdaa na kwa jinsi alivyombishi mtatepeta maana mtatetea mwisho atawakana!. Najua kuna siku mtamtetea kuwa alikuwa anachekesha hakuwa siriaz halafu yy atakuja kukanusha na kusema nilimaanisha hapo ndo mtajuta.
 
Nahisi shibe ndivyo inakufanya useme ujinga kama huu IPO siku na wewe utakuwa kama sisi tu
 
Ukawa acheni siasa za maji taka tena mshindwe na mlegee,uchochezi wa namna hii ni hatari kwa mustakabali wa Taifa lakini Mungu yuko upande wetu mtashindwa tu.AKIMALIZA 10 TUNAMUONGEZEA.
 
Samahani hivi lilipotokea tetemeko mkuu ndiye aliyekuwa wa kwanza kutangaza? Acheni unafiki na kupakana mafuta. Hivi kwa nini waafrika ni wagumu sana kukubali wanapokosea?
 
Njaa IPO mkoa gani jamani!!???? Mbona mi sioni jambo hiliii
 


Kwa hivyo wewe mfano ukivunjika mguu basi sio mwili wote unaumwa kwa sababu uliovunjika.ni mguu tu?
 
Ni kawaida kwa wanasiasa kutumia mateso ya watu kujitafutia umaarufu. Lowassa ndio awape watu wenye njaa chakula? Kama nani sasa yeye? Upuuzi.
 
Kwa Lowasa na Chama cha Chadema kutoa msaada wa chakula, wakati Rais amesema hatatoa chakula kwa waadhirika wa tetemeko na wananchi kwa ujumla. Mimi ninaona hii ni dharau na kumvunjia heshima. Lowasa hawezi kuwa mkarimu kuliko Rais.
 
Kwa Lowasa na Chama cha Chadema kutoa msaada wa chakula, wakati Rais amesema hatatoa chakula kwa waadhirika wa tetemeko na wananchi kwa ujumla. Mimi ninaona hii ni dharau na kumvunjia heshima. Lowasa hawezi kuwa mkarimu kuliko Rais.
Huo ni mtazamo wako. Hata masikini anaweza kuwa na wema zaidi ya tajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…