Lowassa aache uchonganishi, hakuna njaa nchini

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
539
642
Na,
Augustino Chiwinga.

Aliyekua mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA ndugu Edward Lowassa, leo jumapili tarehe 15/1/2017,alikua mjini Bukoba Mkoani kagera.

Ametumia madhabahu matakatifu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ,kanisa ambalo pia alitumia madhabahu yake katika kampeni za urais mwaka 2015 kuomba walutheri wamchague yeye katika nafasi ya urais kwa kua yeye ni mlutheri na nchi haijawahi kua na Rais mlutheri tangu uhuru,ametangaza eti kwamba atagawa chakula wa wananchi wanaokabiliwa na "upungufu wa chakula."

Kwanza nasikitika kwa uongozi wa kanisa la KKKT kukubali madhabahu yake yaendelee kunajisiwa na ndugu Edward Lowassa, maana mtu huyu kwa dhambi na mabaya aliyowafanyia watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii hafai kukaribishwa wala kusimama katika mimbari mitakatifu ya kanisa. Nina shaka na uadilifu wa viongozi wa kanisa la KKKT Bukoba.

Swali la kujiuliza ni wapi Lowassa na vibaraka wenzake wametoa mamlaka ya kutangaza uwepo wa uhaba wa chakula Tanzania ?
Kwa mujibu wa sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza aina yeyote ya majanga au maafa Tanzania ni wakala wa taifa wa usimamizi wa maafa pekee.

Kwa hiyo kitendo cha Lowassa na vikundi vya watu hususani vibaraka wa CHADEMA kutangaza na kueneza habari za uongo kwamba kuna baa la njaa Tanzania inakwenda kinyume na kifungu cha 38(C) cha sheria namba 17 ya Sheria ya usimamizi wa maafa Tanzania ya mwaka 2015,ambacho kinasema

"Mtu yeyote atakayetoa taarifa za uongo na akijua kua sio kweli atakua ametenda kosa na atahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini au vyote kwa ka pamoja"

Kupitia nukuu hii ya sheria ni wazi kwamba ndugu Edward Lowassa ametenda kosa na naomba mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria juu yake na wenzake wote wanaosema uongo juu ya hali ya chakula nchini wafunguliwe mashtaka mara moja.

Pamoja na hayo uzalishaji wa mazao ya chakula hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2016 ulikua ni tani 15,528,820 ukilinganisha na mahitaji yaliyokua 12,946,103, hivo kupelekea nchi kuzalisha ziada ya chakula tani 2,582,717.
Kwa maana hiyo ni kwamba taifa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 (120%)

Sasa sielewi hizi kelele za wapinzani kua njaa imeingia Tanzania zimetokea wapi na kwa misingi ipi, ikiwa wakulima walizalisha ziada ya chakula yaani tani 2,582,717, mpaka kufikia wakaingia tamaa ya kuuza mazao yao katika nchi za jirani mpaka pale serikali ilipoingilia kati .

Ni vema wanasiasa wakaacha kutia wananchi hofu za bure na kupandikiza chuki kwa maslahi yao ya kisiasa, kwani kwa kufanya hivo wanakua hawana tofauti na wahaini kama walivyo wahaini wa aina nyingine.

Huyu Edward Lowassa anayetangaza kugawa chakula tumuulize ni mwanananchi gani aliyemfuata kumuomba chakula, atuoneshe hata mmoja tu au atuoneshe kaburi la mwananchi yeyote aliyekufa kwa njaa.

Alikuyepo Bukoba na Mbunge Lwaktare ,mbunge amsaidie Lowasa kumuonesha mwanachi yeyote anayekabiliwa na "baa la njaa" kama atafanikiwa kumpata hata mmoja.
Kwanza hata ikitokea kweli liwepo ilo "baa la njaa" kama wanavyozusha (MUNGU EPUSHIA MBALI"

Wananchi hawawezi kupokea chakula chake kikichojaa damu jasho ,na dhulma zilizotokana na kuwaibia watanzania.
Ni heri kufa njaa kuliko kupokea chakula kilichotoka kwenye mikono yeye dhambi ya Edward Lowassa.

Huruma hii ya Lowassa ni ghilba na uzandiki tu wa kisiasa. Ingependeza kabla ya kuanza kujisifia kua atawapa watu chakula, kwanza angefanya yafuatayo;
1) Awarudishie wananchi pesa zote alizowaibia.
2) Arudishe mashamba na ranch zote alizopata kwa uporaji na rushwa.
3) Arudishe nyumba na viwanja vyote alivyovitwaa kipindi akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini.

4) Arudishe pesa za Richmond.
5) Atueleze kiundani juu ya kifo cha mchungaji Christopher Mtikila.
6) Aweke wazi mali na kampuni anazomiliki na atueleze alizipataje.
7)Aweke wazi taarifa zake za ulipaji kodi.

Ni wazi kuwa CHADEMA na Lowassa wamekosa kabisa agenda ya kuuza chama chao, matokeo yake wanaokoteza okoteza vitu ambavyo havina msingi wowote wa hoja na kuvitumia kumshambulia Mh. Rais Dr. John P. Magufuli, na ni wazi kuwa wanamshambulia Rais yeye binafsi na sio chama cha mapinduzi

Hii inaonesha wazi kuwa wana mpango kabambe wa kumhujumu na kumchonganisha Mh.Rais na wananchi anaowaongoza, lakini kwa bahati mbaya ni kwamba wananchi bado wana imani na CCM na bado wana imani na mapenzi makubwa kabisa na Rais wao mpendwa Dr. John Joseph Pombe Magufuli.

Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba CHADEMA waache kutumia msamiati wa njaa kuwa agenda yao waache kutumia ghilba husda na uzushi kama kete yao ya kisiasa, kwani Tanzania haina njaa na wawaache watanzania wenye akili timamu wafanye kazi kwa maslahi mapana ya taifa lao.

Augustino Chiwinga.
 
Na,

Augustino Chiwinga.


Aliyekua mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA ndugu Edward Lowassa, leo jumapili tarehe 15/1/2017,alikua mjini Bukoba Mkoani kagera.

Ametumia madhabahu matakatifu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ,kanisa ambalo pia alitumia madhabahu yake katika kampeni za urais mwaka 2015 kuomba walutheri wamchague yeye katika nafasi ya urais kwa kua yeye ni mlutheri na nchi haijawahi kua na Rais mlutheri tangu uhuru,ametangaza eti kwamba atagawa chakula wa wananchi wanaokabiliwa na "upungufu wa chakula."


Kwanza nasikitika kwa uongozi wa kanisa la KKKT kukubali madhabahu yake yaendelee kunajisiwa na ndugu Edward Lowassa, maana mtu huyu kwa dhambi na mabaya aliyowafanyia watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii hafai kukaribishwa wala kusimama katika mimbari mitakatifu ya kanisa. Nina shaka na uadilifu wa viongozi wa kanisa la KKKT Bukoba.


Swali la kujiuliza ni wapi Lowassa na vibaraka wenzake wametoa mamlaka ya kutangaza uwepo wa uhaba wa chakula Tanzania ?

Kwa mujibu wa sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza aina yeyote ya majanga au maafa Tanzania ni wakala wa taifa wa usimamizi wa maafa pekee.

Kwa hiyo kitendo cha Lowassa na vikundi vya watu hususani vibaraka wa CHADEMA kutangaza na kueneza habari za uongo kwamba kuna baa la njaa Tanzania inakwenda kinyume na kifungu cha 38(C) cha sheria namba 17 ya Sheria ya usimamizi wa maafa Tanzania ya mwaka 2015,ambacho kinasema

"mtu yeyote atakayetoa taarifa za uongo na akijua kua sio kweli atakua ametenda kosa na atahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini au vyote kwa ka pamoja"


Kupitia nukuu hii ya sheria ni wazi kwamba ndugu Edward Lowassa ametenda kosa na naomba mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria juu yake na wenzake wote wanaosema uongo juu ya hali ya chakula nchini wafunguliwe mashtaka mara moja.


Pamoja na hayo uzalishaji wa mazao ya chakula hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2016 ulikua ni tani 15,528,820 ukilinganisha na mahitaji yaliyokua 12,946,103, hivo kupelekea nchi kuzalisha ziada ya chakula tani 2,582,717.

Kwa maana hiyo ni kwamba taifa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 (120%)


Sasa sielewi hizi kelele za wapinzani kua njaa imeingia Tanzania zimetokea wapi na kwa misingi ipi, ikiwa wakulima walizalisha ziada ya chakula yaani tani 2,582,717, mpaka kufikia wakaingia tamaa ya kuuza mazao yao katika nchi za jirani mpaka pale serikali ilipoingilia kati .


Ni vema wanasiasa wakaacha kutia wananchi hofu za bure na kupandikiza chuki kwa maslahi yao ya kisiasa, kwani kwa kufanya hivo wanakua hawana tofauti na wahaini kama walivyo wahaini wa aina nyingine.


Huyu Edward Lowassa anayetangaza kugawa chakula tumuulize ni mwanananchi gani aliyemfuata kumuomba chakula, atuoneshe hata mmoja tu au atuoneshe kaburi la mwananchi yeyote aliyekufa kwa njaa.

Alikuepo Bukoba na Mbunge Lwaktare ,mbunge amsaidie Lowasa kumuonesha mwanachi yeyote anayekabiliwa na "baa la njaa" kama atafanikiwa kumpata hata mmoja.


Kwanza hata ikitokea kweli liwepo ilo "baa la njaa" kama wanavyozusha (MUNGU EPUSHIA MBALI"

wananchi hawawezi kupokea chakula chake kikichojaa damu jasho ,na dhulma zilizotokana na kuwaibia watanzania.


Ni heri kufa njaa kuliko kupokea chakula kilichotoka kwenye mikono yeye dhambi ya Edward Lowassa.


Huruma hii ya Lowassa ni ghilba na uzandiki tu wa kisiasa. Ingependeza kabla ya kuanza kujisifia kua atawapa watu chakula, kwanza angefanya yafuatayo;

1) Awarudishie wananchi pesa zote alizowaibia.

2) Arudishe mashamba na ranch zote alizopata kwa uporaji na rushwa.

3) Arudishe nyumba na viwanja vyote alivyovitwaa kipindi akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini.

4) Arudishe pesa za Richmond.

5) Atueleze kiundani juu ya kifo cha mchungaji Christopher Mtikila.

6) Aweke wazi mali na kampuni anazomiliki na atueleze alizipataje.

7)Aweke wazi taarifa zake za ulipaji kodi.

Ni wazi kua CHADEMA na Lowassa wamekosa kabisa agenda ya kuuza chama chao, matokeo yake wanaokoteza okoteza vitu ambavyo havina msingi wowote wa hoja na kuvitumia kumshambulia Mh Rais Dr.John P.Magufuli, na ni wazi kua wanamshambulia Rais yeye binafsi na sio chama cha mapinduzi hii inaonesha wazi kua wana mpango kabambe wa kumuhujumu na kumchonganisha Mh .Rais na wananchichi anaowaongoza, lakini kwa bahati mbaya ni kwamba wananchi bado wana imani na CCM na bado wana imani na mapenzi makubwa kabisa na Rais wao mpendwa Dr John Joseph Pombe Magufuli.


Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba CHADEMA waache kutumia msamiati wa njaa kua agenda yao waache kutumia ghilba husda na uzushi kama kete yao ya kisiasa, kwani Tanzania haina njaa na wawaache watanzania wenye akili timamu wafanye kazi kwa maslahi mapana ys taifa lao.

Augustino Chiwinga.
Na nyie so mlihubiri udhehebu ? Mbona msichue ranch kama shamba ya sumai
 
Na,

Augustino Chiwinga.


Aliyekua mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA ndugu Edward Lowassa, leo jumapili tarehe 15/1/2017,alikua mjini Bukoba Mkoani kagera.

Ametumia madhabahu matakatifu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ,kanisa ambalo pia alitumia madhabahu yake katika kampeni za urais mwaka 2015 kuomba walutheri wamchague yeye katika nafasi ya urais kwa kua yeye ni mlutheri na nchi haijawahi kua na Rais mlutheri tangu uhuru,ametangaza eti kwamba atagawa chakula wa wananchi wanaokabiliwa na "upungufu wa chakula."


Kwanza nasikitika kwa uongozi wa kanisa la KKKT kukubali madhabahu yake yaendelee kunajisiwa na ndugu Edward Lowassa, maana mtu huyu kwa dhambi na mabaya aliyowafanyia watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii hafai kukaribishwa wala kusimama katika mimbari mitakatifu ya kanisa. Nina shaka na uadilifu wa viongozi wa kanisa la KKKT Bukoba.


Swali la kujiuliza ni wapi Lowassa na vibaraka wenzake wametoa mamlaka ya kutangaza uwepo wa uhaba wa chakula Tanzania ?

Kwa mujibu wa sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza aina yeyote ya majanga au maafa Tanzania ni wakala wa taifa wa usimamizi wa maafa pekee.

Kwa hiyo kitendo cha Lowassa na vikundi vya watu hususani vibaraka wa CHADEMA kutangaza na kueneza habari za uongo kwamba kuna baa la njaa Tanzania inakwenda kinyume na kifungu cha 38(C) cha sheria namba 17 ya Sheria ya usimamizi wa maafa Tanzania ya mwaka 2015,ambacho kinasema

"mtu yeyote atakayetoa taarifa za uongo na akijua kua sio kweli atakua ametenda kosa na atahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini au vyote kwa ka pamoja"


Kupitia nukuu hii ya sheria ni wazi kwamba ndugu Edward Lowassa ametenda kosa na naomba mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria juu yake na wenzake wote wanaosema uongo juu ya hali ya chakula nchini wafunguliwe mashtaka mara moja.


Pamoja na hayo uzalishaji wa mazao ya chakula hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2016 ulikua ni tani 15,528,820 ukilinganisha na mahitaji yaliyokua 12,946,103, hivo kupelekea nchi kuzalisha ziada ya chakula tani 2,582,717.

Kwa maana hiyo ni kwamba taifa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 (120%)


Sasa sielewi hizi kelele za wapinzani kua njaa imeingia Tanzania zimetokea wapi na kwa misingi ipi, ikiwa wakulima walizalisha ziada ya chakula yaani tani 2,582,717, mpaka kufikia wakaingia tamaa ya kuuza mazao yao katika nchi za jirani mpaka pale serikali ilipoingilia kati .


Ni vema wanasiasa wakaacha kutia wananchi hofu za bure na kupandikiza chuki kwa maslahi yao ya kisiasa, kwani kwa kufanya hivo wanakua hawana tofauti na wahaini kama walivyo wahaini wa aina nyingine.


Huyu Edward Lowassa anayetangaza kugawa chakula tumuulize ni mwanananchi gani aliyemfuata kumuomba chakula, atuoneshe hata mmoja tu au atuoneshe kaburi la mwananchi yeyote aliyekufa kwa njaa.

Alikuepo Bukoba na Mbunge Lwaktare ,mbunge amsaidie Lowasa kumuonesha mwanachi yeyote anayekabiliwa na "baa la njaa" kama atafanikiwa kumpata hata mmoja.


Kwanza hata ikitokea kweli liwepo ilo "baa la njaa" kama wanavyozusha (MUNGU EPUSHIA MBALI"

wananchi hawawezi kupokea chakula chake kikichojaa damu jasho ,na dhulma zilizotokana na kuwaibia watanzania.


Ni heri kufa njaa kuliko kupokea chakula kilichotoka kwenye mikono yeye dhambi ya Edward Lowassa.


Huruma hii ya Lowassa ni ghilba na uzandiki tu wa kisiasa. Ingependeza kabla ya kuanza kujisifia kua atawapa watu chakula, kwanza angefanya yafuatayo;

1) Awarudishie wananchi pesa zote alizowaibia.

2) Arudishe mashamba na ranch zote alizopata kwa uporaji na rushwa.

3) Arudishe nyumba na viwanja vyote alivyovitwaa kipindi akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini.

4) Arudishe pesa za Richmond.

5) Atueleze kiundani juu ya kifo cha mchungaji Christopher Mtikila.

6) Aweke wazi mali na kampuni anazomiliki na atueleze alizipataje.

7)Aweke wazi taarifa zake za ulipaji kodi.

Ni wazi kua CHADEMA na Lowassa wamekosa kabisa agenda ya kuuza chama chao, matokeo yake wanaokoteza okoteza vitu ambavyo havina msingi wowote wa hoja na kuvitumia kumshambulia Mh Rais Dr.John P.Magufuli, na ni wazi kua wanamshambulia Rais yeye binafsi na sio chama cha mapinduzi hii inaonesha wazi kua wana mpango kabambe wa kumuhujumu na kumchonganisha Mh .Rais na wananchichi anaowaongoza, lakini kwa bahati mbaya ni kwamba wananchi bado wana imani na CCM na bado wana imani na mapenzi makubwa kabisa na Rais wao mpendwa Dr John Joseph Pombe Magufuli.


Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba CHADEMA waache kutumia msamiati wa njaa kua agenda yao waache kutumia ghilba husda na uzushi kama kete yao ya kisiasa, kwani Tanzania haina njaa na wawaache watanzania wenye akili timamu wafanye kazi kwa maslahi mapana ys taifa lao.

Augustino Chiwinga.
Hujawahi kupata njaa wewe, watu wanakula mpaka matunda yenye sumu ili wasife, unaijua njaa au unaisikia? subiri ukiwa na njaa uone kama hutakimbilia chakula hata kama kitaletwa na shetani.
 
Mmbea tu Eli hiyo njaa kaiona wapi mbona bei za vitu hazina tofauti yoyote yakusema kuna njaa.
Kama huko Handeni washazoea kuuza chakula chote wanacho lima kisha wanaangaika na wamekata misitu kwa kuchoma mkaa ndio kaeaida yao.
Huko Bukoba asijifanye ndio mwema kisa tetemeko kwa upande wangu namuona lofa tu alivyokua ccm alisema alikua hana mamlaka ya kuamua jambo sasa hivi anaitoa wapi hiyo mamlaka yakuomba chakula kama sio unafiki
 
Na,

Augustino Chiwinga.


Aliyekua mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA ndugu Edward Lowassa, leo jumapili tarehe 15/1/2017,alikua mjini Bukoba Mkoani kagera.

Ametumia madhabahu matakatifu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ,kanisa ambalo pia alitumia madhabahu yake katika kampeni za urais mwaka 2015 kuomba walutheri wamchague yeye katika nafasi ya urais kwa kua yeye ni mlutheri na nchi haijawahi kua na Rais mlutheri tangu uhuru,ametangaza eti kwamba atagawa chakula wa wananchi wanaokabiliwa na "upungufu wa chakula."


Kwanza nasikitika kwa uongozi wa kanisa la KKKT kukubali madhabahu yake yaendelee kunajisiwa na ndugu Edward Lowassa, maana mtu huyu kwa dhambi na mabaya aliyowafanyia watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii hafai kukaribishwa wala kusimama katika mimbari mitakatifu ya kanisa. Nina shaka na uadilifu wa viongozi wa kanisa la KKKT Bukoba.


Swali la kujiuliza ni wapi Lowassa na vibaraka wenzake wametoa mamlaka ya kutangaza uwepo wa uhaba wa chakula Tanzania ?

Kwa mujibu wa sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza aina yeyote ya majanga au maafa Tanzania ni wakala wa taifa wa usimamizi wa maafa pekee.

Kwa hiyo kitendo cha Lowassa na vikundi vya watu hususani vibaraka wa CHADEMA kutangaza na kueneza habari za uongo kwamba kuna baa la njaa Tanzania inakwenda kinyume na kifungu cha 38(C) cha sheria namba 17 ya Sheria ya usimamizi wa maafa Tanzania ya mwaka 2015,ambacho kinasema

"mtu yeyote atakayetoa taarifa za uongo na akijua kua sio kweli atakua ametenda kosa na atahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini au vyote kwa ka pamoja"


Kupitia nukuu hii ya sheria ni wazi kwamba ndugu Edward Lowassa ametenda kosa na naomba mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria juu yake na wenzake wote wanaosema uongo juu ya hali ya chakula nchini wafunguliwe mashtaka mara moja.


Pamoja na hayo uzalishaji wa mazao ya chakula hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2016 ulikua ni tani 15,528,820 ukilinganisha na mahitaji yaliyokua 12,946,103, hivo kupelekea nchi kuzalisha ziada ya chakula tani 2,582,717.

Kwa maana hiyo ni kwamba taifa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 (120%)


Sasa sielewi hizi kelele za wapinzani kua njaa imeingia Tanzania zimetokea wapi na kwa misingi ipi, ikiwa wakulima walizalisha ziada ya chakula yaani tani 2,582,717, mpaka kufikia wakaingia tamaa ya kuuza mazao yao katika nchi za jirani mpaka pale serikali ilipoingilia kati .


Ni vema wanasiasa wakaacha kutia wananchi hofu za bure na kupandikiza chuki kwa maslahi yao ya kisiasa, kwani kwa kufanya hivo wanakua hawana tofauti na wahaini kama walivyo wahaini wa aina nyingine.


Huyu Edward Lowassa anayetangaza kugawa chakula tumuulize ni mwanananchi gani aliyemfuata kumuomba chakula, atuoneshe hata mmoja tu au atuoneshe kaburi la mwananchi yeyote aliyekufa kwa njaa.

Alikuepo Bukoba na Mbunge Lwaktare ,mbunge amsaidie Lowasa kumuonesha mwanachi yeyote anayekabiliwa na "baa la njaa" kama atafanikiwa kumpata hata mmoja.


Kwanza hata ikitokea kweli liwepo ilo "baa la njaa" kama wanavyozusha (MUNGU EPUSHIA MBALI"

wananchi hawawezi kupokea chakula chake kikichojaa damu jasho ,na dhulma zilizotokana na kuwaibia watanzania.


Ni heri kufa njaa kuliko kupokea chakula kilichotoka kwenye mikono yeye dhambi ya Edward Lowassa.


Huruma hii ya Lowassa ni ghilba na uzandiki tu wa kisiasa. Ingependeza kabla ya kuanza kujisifia kua atawapa watu chakula, kwanza angefanya yafuatayo;

1) Awarudishie wananchi pesa zote alizowaibia.

2) Arudishe mashamba na ranch zote alizopata kwa uporaji na rushwa.

3) Arudishe nyumba na viwanja vyote alivyovitwaa kipindi akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini.

4) Arudishe pesa za Richmond.

5) Atueleze kiundani juu ya kifo cha mchungaji Christopher Mtikila.

6) Aweke wazi mali na kampuni anazomiliki na atueleze alizipataje.

7)Aweke wazi taarifa zake za ulipaji kodi.

Ni wazi kua CHADEMA na Lowassa wamekosa kabisa agenda ya kuuza chama chao, matokeo yake wanaokoteza okoteza vitu ambavyo havina msingi wowote wa hoja na kuvitumia kumshambulia Mh Rais Dr.John P.Magufuli, na ni wazi kua wanamshambulia Rais yeye binafsi na sio chama cha mapinduzi hii inaonesha wazi kua wana mpango kabambe wa kumuhujumu na kumchonganisha Mh .Rais na wananchichi anaowaongoza, lakini kwa bahati mbaya ni kwamba wananchi bado wana imani na CCM na bado wana imani na mapenzi makubwa kabisa na Rais wao mpendwa Dr John Joseph Pombe Magufuli.


Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba CHADEMA waache kutumia msamiati wa njaa kua agenda yao waache kutumia ghilba husda na uzushi kama kete yao ya kisiasa, kwani Tanzania haina njaa na wawaache watanzania wenye akili timamu wafanye kazi kwa maslahi mapana ys taifa lao.

Augustino Chiwinga.
Mnajua tatizo lipo lakini mpo bizy kupiga propaganda za kisiasa kuwa halipo. Mnadhani njaa au ugonjwa ni sawa na vyama vya siasa ambapo ukikataza mikutano basi inabidi watii la sivyo wanapigwa virungu na vitu vyenye ncha kali na wengine kupoteza maisha au kufungwa? Njaa au ugonjwa fulani kama vipo, vipo tu hata ukipiga mkwara, bila kuweka mikakati ya kuvikabili vinazidi kuenea na kuathiri watu wengi zaidi.

Sasa sitaki kujibu uchochei mwingi ulioandika hapo ila nataka kuuliza jambo moja tu.
KAMA KWELI NJAA HAKUNA, KAULI KUWA KUNA NJAA INAWEZAJE KUWATISHA WANANCHI? YAANI UMWAMBIE MTU MWENYE CHAKULA CHA KUTOSHA KABISA AU ALIYESHIBA NA MWENYE UHAKIKA WA KUSHIBA KWA MWAKA MZIMA ATI KUNA NJAA, GHAFLA NA YEYE AHISI KWELI NJAA IPO NA AINGIWE NA HOFU?

Tupige porojo huku mkiwa mnatafuta ufumbuzi. Hizo takwimu mnazoleta msije mkazikana na kuzikanusha baadaye. Mwisho wa siku tutaambiwa chakula kilichokuwepo kimeenda kwenye mashule na magereza tu.

After all, nina hakika misalaba mingi bado haijapata watu wa kuibeba, na kwa kuwa tulishaambiwa kila mtu abebe msalaba wake, hali itaendelea hivi hivi hadi misalaba yote imalizike kubebwa na wahusika.
 
Na,

Augustino Chiwinga.


Aliyekua mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA ndugu Edward Lowassa, leo jumapili tarehe 15/1/2017,alikua mjini Bukoba Mkoani kagera.

Ametumia madhabahu matakatifu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ,kanisa ambalo pia alitumia madhabahu yake katika kampeni za urais mwaka 2015 kuomba walutheri wamchague yeye katika nafasi ya urais kwa kua yeye ni mlutheri na nchi haijawahi kua na Rais mlutheri tangu uhuru,ametangaza eti kwamba atagawa chakula wa wananchi wanaokabiliwa na "upungufu wa chakula."


Kwanza nasikitika kwa uongozi wa kanisa la KKKT kukubali madhabahu yake yaendelee kunajisiwa na ndugu Edward Lowassa, maana mtu huyu kwa dhambi na mabaya aliyowafanyia watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii hafai kukaribishwa wala kusimama katika mimbari mitakatifu ya kanisa. Nina shaka na uadilifu wa viongozi wa kanisa la KKKT Bukoba.


Swali la kujiuliza ni wapi Lowassa na vibaraka wenzake wametoa mamlaka ya kutangaza uwepo wa uhaba wa chakula Tanzania ?

Kwa mujibu wa sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza aina yeyote ya majanga au maafa Tanzania ni wakala wa taifa wa usimamizi wa maafa pekee.

Kwa hiyo kitendo cha Lowassa na vikundi vya watu hususani vibaraka wa CHADEMA kutangaza na kueneza habari za uongo kwamba kuna baa la njaa Tanzania inakwenda kinyume na kifungu cha 38(C) cha sheria namba 17 ya Sheria ya usimamizi wa maafa Tanzania ya mwaka 2015,ambacho kinasema

"mtu yeyote atakayetoa taarifa za uongo na akijua kua sio kweli atakua ametenda kosa na atahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini au vyote kwa ka pamoja"


Kupitia nukuu hii ya sheria ni wazi kwamba ndugu Edward Lowassa ametenda kosa na naomba mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria juu yake na wenzake wote wanaosema uongo juu ya hali ya chakula nchini wafunguliwe mashtaka mara moja.


Pamoja na hayo uzalishaji wa mazao ya chakula hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2016 ulikua ni tani 15,528,820 ukilinganisha na mahitaji yaliyokua 12,946,103, hivo kupelekea nchi kuzalisha ziada ya chakula tani 2,582,717.

Kwa maana hiyo ni kwamba taifa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 (120%)


Sasa sielewi hizi kelele za wapinzani kua njaa imeingia Tanzania zimetokea wapi na kwa misingi ipi, ikiwa wakulima walizalisha ziada ya chakula yaani tani 2,582,717, mpaka kufikia wakaingia tamaa ya kuuza mazao yao katika nchi za jirani mpaka pale serikali ilipoingilia kati .


Ni vema wanasiasa wakaacha kutia wananchi hofu za bure na kupandikiza chuki kwa maslahi yao ya kisiasa, kwani kwa kufanya hivo wanakua hawana tofauti na wahaini kama walivyo wahaini wa aina nyingine.


Huyu Edward Lowassa anayetangaza kugawa chakula tumuulize ni mwanananchi gani aliyemfuata kumuomba chakula, atuoneshe hata mmoja tu au atuoneshe kaburi la mwananchi yeyote aliyekufa kwa njaa.

Alikuepo Bukoba na Mbunge Lwaktare ,mbunge amsaidie Lowasa kumuonesha mwanachi yeyote anayekabiliwa na "baa la njaa" kama atafanikiwa kumpata hata mmoja.


Kwanza hata ikitokea kweli liwepo ilo "baa la njaa" kama wanavyozusha (MUNGU EPUSHIA MBALI"

wananchi hawawezi kupokea chakula chake kikichojaa damu jasho ,na dhulma zilizotokana na kuwaibia watanzania.


Ni heri kufa njaa kuliko kupokea chakula kilichotoka kwenye mikono yeye dhambi ya Edward Lowassa.


Huruma hii ya Lowassa ni ghilba na uzandiki tu wa kisiasa. Ingependeza kabla ya kuanza kujisifia kua atawapa watu chakula, kwanza angefanya yafuatayo;

1) Awarudishie wananchi pesa zote alizowaibia.

2) Arudishe mashamba na ranch zote alizopata kwa uporaji na rushwa.

3) Arudishe nyumba na viwanja vyote alivyovitwaa kipindi akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini.

4) Arudishe pesa za Richmond.

5) Atueleze kiundani juu ya kifo cha mchungaji Christopher Mtikila.

6) Aweke wazi mali na kampuni anazomiliki na atueleze alizipataje.

7)Aweke wazi taarifa zake za ulipaji kodi.

Ni wazi kua CHADEMA na Lowassa wamekosa kabisa agenda ya kuuza chama chao, matokeo yake wanaokoteza okoteza vitu ambavyo havina msingi wowote wa hoja na kuvitumia kumshambulia Mh Rais Dr.John P.Magufuli, na ni wazi kua wanamshambulia Rais yeye binafsi na sio chama cha mapinduzi hii inaonesha wazi kua wana mpango kabambe wa kumuhujumu na kumchonganisha Mh .Rais na wananchichi anaowaongoza, lakini kwa bahati mbaya ni kwamba wananchi bado wana imani na CCM na bado wana imani na mapenzi makubwa kabisa na Rais wao mpendwa Dr John Joseph Pombe Magufuli.


Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba CHADEMA waache kutumia msamiati wa njaa kua agenda yao waache kutumia ghilba husda na uzushi kama kete yao ya kisiasa, kwani Tanzania haina njaa na wawaache watanzania wenye akili timamu wafanye kazi kwa maslahi mapana ys taifa lao.

Augustino Chiwinga.
Kuhusu kuongea kanisani:

Mbona mkuu sana amefululiza kupiga "gospel" na kutoa shuhuda za rozari makanisani pia?

Ni kufuata nyayo tu.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
Kwa cheo cha Low as a cha mwisho yani waziri mkuu aliyejiuzuru inatosha kabisa ataafanye mini kibali cha kua Raise was Tz ninjozi za Loassa za mchana.....haaaaaa!
 
Ninyi ni wajinga haswa. Mnajua tatizo lipo lakini mpo bizy kupiga propaganda za kisiasa kuwa halipo. Mnadhani njaa au ugonjwa ni sawa na vyama vya siasa ambapo ukikataza mikutano basi inabidi watii la sivyo wanapigwa virungu na vitu vyenye ncha kali na wengine kupoteza maisha au kufungwa? Njaa au ugonjwa fulani kama vipo, vipo tu hata ukipiga mkwara, bila kuweka mikakati ya kuvikabili vinazidi kuenea na kuathiri watu wengi zaidi.

Sasa sitaki kujibu uchochei mwingi ulioandika hapo ila nataka kuuliza jambo moja tu.
KAMA KWELI NJAA HAKUNA, KAULI KUWA KUNA NJAA INAWEZAJE KUWATISHA WANANCHI? YAANI UMWAMBIE MTU MWENYE CHAKULA CHA KUTOSHA KABISA AU ALIYESHIBA NA MWENYE UHAKIKA WA KUSHIBA KWA MWAKA MZIMA ATI KUNA NJAA, GHAFLA NA YEYE AHISI KWELI NJAA IPO NA AINGIWE NA HOFU?

Tupige porojo huku mkiwa mnatafuta ufumbuzi. Hizo takwimu mnazoleta msije mkazikana na kuzikanusha baadaye. Mwisho wa siku tutaambiwa chakula kilichokuwepo kimeenda kwenye mashule na magereza tu.

After all, nina hakika misalaba mingi bado haijapata watu wa kuibeba, na kwa kuwa tulishaambiwa kila mtu abebe msalaba wake, hali itaendelea hivi hivi hadi misalaba yote imalizike kubebwa na wahusika.
Mkubwa hivi njaa inawezekana kuwepo leo Tanzania wakati uku kahama Mchele kilo moja ni 1,200 mpaka 1,500. nijuavyo mimi ni kuwa ni kweli kubna ukame ambao unaweza pelekea msimu wa mwaka huu kukawepo na njaa lakini kwa sasa hakuna njaa na sehemu iliyopo njaa ni kawaida ya wakulima kuuza chakula chote na kuanza kusema kuna njaa
Mfano ni meatu na kishapu miaka yate wao ni watu wa kusaidiwa tu hiyo huwezi kusema kwa sababu ya watu wa Meatu na kishapu leo hawana chakula ukasema kuna njaa njoo kahama au nenda Rukwa, Mbeya ndio useme Tanzania kuna njaa
 
Na,

Augustino Chiwinga.


Aliyekua mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA ndugu Edward Lowassa, leo jumapili tarehe 15/1/2017,alikua mjini Bukoba Mkoani kagera.

Ametumia madhabahu matakatifu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ,kanisa ambalo pia alitumia madhabahu yake katika kampeni za urais mwaka 2015 kuomba walutheri wamchague yeye katika nafasi ya urais kwa kua yeye ni mlutheri na nchi haijawahi kua na Rais mlutheri tangu uhuru,ametangaza eti kwamba atagawa chakula wa wananchi wanaokabiliwa na "upungufu wa chakula."


Kwanza nasikitika kwa uongozi wa kanisa la KKKT kukubali madhabahu yake yaendelee kunajisiwa na ndugu Edward Lowassa, maana mtu huyu kwa dhambi na mabaya aliyowafanyia watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii hafai kukaribishwa wala kusimama katika mimbari mitakatifu ya kanisa. Nina shaka na uadilifu wa viongozi wa kanisa la KKKT Bukoba.


Swali la kujiuliza ni wapi Lowassa na vibaraka wenzake wametoa mamlaka ya kutangaza uwepo wa uhaba wa chakula Tanzania ?

Kwa mujibu wa sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza aina yeyote ya majanga au maafa Tanzania ni wakala wa taifa wa usimamizi wa maafa pekee.

Kwa hiyo kitendo cha Lowassa na vikundi vya watu hususani vibaraka wa CHADEMA kutangaza na kueneza habari za uongo kwamba kuna baa la njaa Tanzania inakwenda kinyume na kifungu cha 38(C) cha sheria namba 17 ya Sheria ya usimamizi wa maafa Tanzania ya mwaka 2015,ambacho kinasema

"mtu yeyote atakayetoa taarifa za uongo na akijua kua sio kweli atakua ametenda kosa na atahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini au vyote kwa ka pamoja"


Kupitia nukuu hii ya sheria ni wazi kwamba ndugu Edward Lowassa ametenda kosa na naomba mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria juu yake na wenzake wote wanaosema uongo juu ya hali ya chakula nchini wafunguliwe mashtaka mara moja.


Pamoja na hayo uzalishaji wa mazao ya chakula hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2016 ulikua ni tani 15,528,820 ukilinganisha na mahitaji yaliyokua 12,946,103, hivo kupelekea nchi kuzalisha ziada ya chakula tani 2,582,717.

Kwa maana hiyo ni kwamba taifa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 (120%)


Sasa sielewi hizi kelele za wapinzani kua njaa imeingia Tanzania zimetokea wapi na kwa misingi ipi, ikiwa wakulima walizalisha ziada ya chakula yaani tani 2,582,717, mpaka kufikia wakaingia tamaa ya kuuza mazao yao katika nchi za jirani mpaka pale serikali ilipoingilia kati .


Ni vema wanasiasa wakaacha kutia wananchi hofu za bure na kupandikiza chuki kwa maslahi yao ya kisiasa, kwani kwa kufanya hivo wanakua hawana tofauti na wahaini kama walivyo wahaini wa aina nyingine.


Huyu Edward Lowassa anayetangaza kugawa chakula tumuulize ni mwanananchi gani aliyemfuata kumuomba chakula, atuoneshe hata mmoja tu au atuoneshe kaburi la mwananchi yeyote aliyekufa kwa njaa.

Alikuepo Bukoba na Mbunge Lwaktare ,mbunge amsaidie Lowasa kumuonesha mwanachi yeyote anayekabiliwa na "baa la njaa" kama atafanikiwa kumpata hata mmoja.


Kwanza hata ikitokea kweli liwepo ilo "baa la njaa" kama wanavyozusha (MUNGU EPUSHIA MBALI"

wananchi hawawezi kupokea chakula chake kikichojaa damu jasho ,na dhulma zilizotokana na kuwaibia watanzania.


Ni heri kufa njaa kuliko kupokea chakula kilichotoka kwenye mikono yeye dhambi ya Edward Lowassa.


Huruma hii ya Lowassa ni ghilba na uzandiki tu wa kisiasa. Ingependeza kabla ya kuanza kujisifia kua atawapa watu chakula, kwanza angefanya yafuatayo;

1) Awarudishie wananchi pesa zote alizowaibia.

2) Arudishe mashamba na ranch zote alizopata kwa uporaji na rushwa.

3) Arudishe nyumba na viwanja vyote alivyovitwaa kipindi akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini.

4) Arudishe pesa za Richmond.

5) Atueleze kiundani juu ya kifo cha mchungaji Christopher Mtikila.

6) Aweke wazi mali na kampuni anazomiliki na atueleze alizipataje.

7)Aweke wazi taarifa zake za ulipaji kodi.

Ni wazi kua CHADEMA na Lowassa wamekosa kabisa agenda ya kuuza chama chao, matokeo yake wanaokoteza okoteza vitu ambavyo havina msingi wowote wa hoja na kuvitumia kumshambulia Mh Rais Dr.John P.Magufuli, na ni wazi kua wanamshambulia Rais yeye binafsi na sio chama cha mapinduzi hii inaonesha wazi kua wana mpango kabambe wa kumuhujumu na kumchonganisha Mh .Rais na wananchichi anaowaongoza, lakini kwa bahati mbaya ni kwamba wananchi bado wana imani na CCM na bado wana imani na mapenzi makubwa kabisa na Rais wao mpendwa Dr John Joseph Pombe Magufuli.


Mwisho nimalizie kwa kusema kwamba CHADEMA waache kutumia msamiati wa njaa kua agenda yao waache kutumia ghilba husda na uzushi kama kete yao ya kisiasa, kwani Tanzania haina njaa na wawaache watanzania wenye akili timamu wafanye kazi kwa maslahi mapana ys taifa lao.

Augustino Chiwinga.

Kwani alompa madhabahu jpm kila anakopita makanisani na kueneza chuki,fitna na matusi nani,mbona yeye hajarudisha hela alizopiga uuzaji nyumba za umma,na ununuzi meli mbovu,atueleze aliungama lini na kanisa gani
 
Nani mwenye mamlaka ya kutangaza hali yoyote ya hatari katika nchi? Mfano wa wazi kabisa ni pale tulivyovamiwa na Nduli Idd Amin Dadaa,Hayati Baba wa Taifa Mwl J.K.Nyerere akiwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania aliutangazia umma tena ktk mkutano maalumu na vyombo vya habari juu ya uvamizi wa nchi yao kutoka kwa Idd Amin Dadaa.
Mfano wa pili na hata baada ya kutokea kifo cha baba yetu au baba wa Taifa Mwl J.K.Nyerere ni Rais wa wakati huo ndugu Benjamin William Mkapa akautangazia umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari juu ya msiba huo.
Nachotaka kusema kila nchi inautaratibu wake wa kutangaza majanga ya kitaifa naweza kusema labda majanga makuu yanayotokea au yanayotishia kutokea ktk nchi,kwahiyo Watanzania tuwe makini kwa hilo kwani wahenga walisema 'Miluzi mingi ilimpoteza Mbwa muelekeo' kwahiyo Watanzania kama kunatishio lolote la njaa Rais wetu ni mtu wa watu na nimpenda watu na Rais wetu yupo ndani ya jamii hii hii ya Watanzania, kama kunatishio lolote ktk nchi atautangazia umma juu ya tishio hilo kwa sababu yeye ndiye kiongozi mkuu wa Taifa hili teule.
 
Hebu kaa chini na uache kuhemka. Mkulu wako anasema amekuwa anahubiri siasa kila anapoenda kwenye ibada na kutumbua watunakiwa mbele ya madhabahu.! Hilo hujaliwazia bado. Umeona aliyesema atatoa chakula kakosea! Wako watubwanaweza kutoa msaada wa chakula sana. Mengi amekuwa akiwalisha wenye ulemavu wa ngozi albino kwa miaka nenda na misaada mingine mingi tu. Bakhresa je. M.Dewji au mnadhani misaada ni vilabu vya mpira tu!
Mkuu amesema hana shamba na hana chakula cha kuwapa "Mwafaah". Naomba mzidi kuniombea!! Hivi inaingia akilini kweli. Umetoa ngonjera nyiimgi tu una uhakika au nawewe ni mmojawapo wa wale wapiga dili. Nashukuru sina chama ila unapoleta uzi wa kindakindaki hauna mshiko. Bora ulale ukiamka uje na akili nyeupe! Jiulize kwa nimi kuna mfumuko wa bei na shilingi inaporomoka dhidhi ya dola!.
 
Uwezi kuhujua utamu wa ngoma km hauko miongon mwa wale wanaocheza....### huwezi jua km nchi hii kuna uhaba wa chakula...kama mahitaj ako unatengemea kutafutiwa ....kuna mfumuko mkubwa wa bei za vyakula.....kila mwezi bei ya chakula inapanda ...tangu mwez 10 hv mpk ss
 
Back
Top Bottom